Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
heheheeeeeee first lady kama ulikuwepo na mimi nimemwambia exactly the same thing kaja kuniomba afanyaje ampate huyo wa kuwasiliana naye nikamwambia dont do it akaanza ooooohh unajuaaa nikamwambia OOOkkkkkkeeeeeyyyy ngoja niweke JF sasa nadhani zangu za JF akichanganya na za kwake atapata jibu sahihi then akiamua kuchakachua atajipanga. thanks
Mwambie naomba namba yake ya simu! Nina uzoefu wa kutoa ushauri nasaha katika masuala kama hayo!