Ndoa zina mambo - Chatmate needed

heheheeeeeee first lady kama ulikuwepo na mimi nimemwambia exactly the same thing kaja kuniomba afanyaje ampate huyo wa kuwasiliana naye nikamwambia dont do it akaanza ooooohh unajuaaa nikamwambia OOOkkkkkkeeeeeyyyy ngoja niweke JF sasa nadhani zangu za JF akichanganya na za kwake atapata jibu sahihi then akiamua kuchakachua atajipanga. thanks

Mwambie naomba namba yake ya simu! Nina uzoefu wa kutoa ushauri nasaha katika masuala kama hayo!
 
Dah....biznez plani yangu yoote umeichakachua....:sad::sad:
na ntachakachua ving mpk proposal yako nin bzness plan?
kile kifungo kinaendelea ....stak kuongea na wewe nimekununia!!!!
hw u?
missng u badly ma men niaje apo finest jana nilitaka kuwafata nkaona ahh bas tena nkageuzia njian tu.......
ukija twn nchek.......npo uku leo.
chat rum yaja lin?
 
na ntachakachua ving mpk proposal yako nin bzness plan?
kile kifungo kinaendelea ....stak kuongea na wewe nimekununia!!!!
hw u?
missng u badly ma men niaje apo finest jana nilitaka kuwafata nkaona ahh bas tena nkageuzia njian tu.......
ukija twn nchek.......npo uku leo.
chat rum yaja lin?

Well well....am at your disposal madam.....
BTW: Hivi huyu dada/mama anatafuta Cheatmate kuanzia lini?? Nataka nimsaidie...ofkoz if you permit..
 
Well well....am at your disposal madam.....
BTW: Hivi huyu dada/mama anatafuta Cheatmate kuanzia lini?? Nataka nimsaidie...ofkoz if you permit..
[/Q
hahaahah!haaaa!!!!!!!!
kwa vile umesema ukweli basi poa nakuruhusu nenda baba bt kumbuka knga +na uwai kurud brazili
uktoka job saa 11 ptia kwa cheatmate wako mpk saa 1 then kimbia mbioooooooooooo brazil sawa?
lakin namimi nkiomba niwe na cheatmate wangu ......uniruhusu..mimi ntakuwa nae mmoja tu tena shamba boy au kakamuuza genge.sawa?!!!!!!!!!!!
 
roy unataka kufanyaje?????
ole wako nakwambia
jaribu uone km sjaku.k.e.k.e.t.............mayra ya pili!
tatizo la uku aujalimaliza unataka kwenda wap tena????ebu rud uko haraka saaaaaana kaz iyo mwachie FINEST AU GENERATION Y!!!!

Yaani Roya Roy anacheza namba 9 saa hadi anataka kucheza namba 12 ninayocheza mimi, Roya Roy kocha kasema benchi kwanza acha tuliofanya mazoezi tuingie ground
 
hahaahah!haaaa!!!!!!!!
kwa vile umesema ukweli basi poa nakuruhusu nenda baba bt kumbuka knga +na uwai kurud brazili
uktoka job saa 11 ptia kwa cheatmate wako mpk saa 1 then kimbia mbioooooooooooo brazil sawa?
lakin namimi nkiomba niwe na cheatmate wangu ......uniruhusu..mimi ntakuwa nae mmoja tu tena shamba boy au kakamuuza genge.sawa?!!!!!!!!!!!

Kwingine kooote sawa....hapo kwa red....:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
Yaani Roya Roy anacheza namba 9 saa hadi anataka kucheza namba 12 ninayocheza mimi, Roya Roy kocha kasema benchi kwanza acha tuliofanya mazoezi tuingie ground

Wewe Finest unakosa subira...kwa nini?? Y??
 
na ntachakachua ving mpk proposal yako nin bzness plan?
kile kifungo kinaendelea ....stak kuongea na wewe nimekununia!!!!
hw u?
missng u badly ma men niaje apo finest jana nilitaka kuwafata nkaona ahh bas tena nkageuzia njian tu.......
ukija twn nchek.......npo uku leo.
chat rum yaja lin?

Nimesikia mods wanasema watakuwa wanaiweka usiku tu:doh::doh::doh: Lol!!!
 
Kwa vile mwenyewe amechagua lazima awe mwanaume basi waswahili wanasema mwana kilanga haliliwi wala halaliwi matanga. Atakayoyapata huko ngojea tusubiri. Tutakuja kusikia mshauri kageuka kuwa ndio mume.

Huwa inatokea lkn baada ya hapo ataomba tena tena mtu wa kuchat nae,,,mbona itachosha!
 
roy unataka kufanyaje?????
ole wako nakwambia
jaribu uone km sjaku.k.e.k.e.t.............mayra ya pili!
tatizo la uku aujalimaliza unataka kwenda wap tena????ebu rud uko haraka saaaaaana kaz iyo mwachie FINEST AU GENERATION Y!!!!
Orait....St. Roya umeyasikia haya? sio ombi ni amri.
 
na ntachakachua ving mpk proposal yako nin bzness plan?
kile kifungo kinaendelea ....stak kuongea na wewe nimekununia!!!!
hw u?
missng u badly ma men niaje apo finest jana nilitaka kuwafata nkaona ahh bas tena nkageuzia njian tu.......
ukija twn nchek.......npo uku leo.
chat rum yaja lin?

Duuh kiswahili ni kigumu kuelewa hasa kwa sisi wa miaka ya 60 na sabini:rain:
 
Back
Top Bottom