Ashangedere
Senior Member
- Aug 9, 2010
- 119
- 31
Tumpe msaada huyu:
A very stressed woman, Ameolewa ana 2 kids bado wadogo, anampenda mumewe lakini sikuhizi mwanaume kama anamashetani amekuwa na mwanamke ambaye hata yeye hamjui ila anaona mawasiliano kwa simu, nyumba haina mapenzi kabisa, hapo mwanzo mapenzi yalikuwa motomoto, kashitaki kanisani kwa ndugu mpaka kwa washenga lakini mwenzake hamuelewi mtu yeyote. Ana marafiki wanawake wengi hawaamini kuwaambia mengi ya ndoa yake,hataki tena kumwambia mtu matatizo yake. hana marafiki wa kiume, HATAKI KUCHEAT wala kumuacha mumewe lakini anahisi akiwa anachat na mwanaume ambaye hamjui na (hataki kumjua) na amueleze matatizo yake awe anamshauri may be kila mara akichanganyikiwa atapunguza sana stress. so anatafuta secret chat mate mwanaume preferably aliyeoa chat kwa mail tu no phone no kuonana. mail: nimechoka_sana@yahoo.com
A very stressed woman, Ameolewa ana 2 kids bado wadogo, anampenda mumewe lakini sikuhizi mwanaume kama anamashetani amekuwa na mwanamke ambaye hata yeye hamjui ila anaona mawasiliano kwa simu, nyumba haina mapenzi kabisa, hapo mwanzo mapenzi yalikuwa motomoto, kashitaki kanisani kwa ndugu mpaka kwa washenga lakini mwenzake hamuelewi mtu yeyote. Ana marafiki wanawake wengi hawaamini kuwaambia mengi ya ndoa yake,hataki tena kumwambia mtu matatizo yake. hana marafiki wa kiume, HATAKI KUCHEAT wala kumuacha mumewe lakini anahisi akiwa anachat na mwanaume ambaye hamjui na (hataki kumjua) na amueleze matatizo yake awe anamshauri may be kila mara akichanganyikiwa atapunguza sana stress. so anatafuta secret chat mate mwanaume preferably aliyeoa chat kwa mail tu no phone no kuonana. mail: nimechoka_sana@yahoo.com