Ndoa za watoto zaruhusiwa

Ndoa za watoto zaruhusiwa

mopaozi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
3,300
Reaction score
523
Nchi ya NIGERIA imeruhusu ndoa za watoto kuwaoa watu wazima hebu jiachieni kwa picha hizi huyu c ni yule mtoto anayechezaga picha za Aki na Ukwa sasa eti kaoa bonge la jimama!!





osita.jpg osita2.jpg osita2.jpg
 
wewe huyo si mtoto ni mfupi tu,,mmmnh una yako....
 
He is a Nigerian actor born 12 December 1977 in Bende, Abia State, Nigeria, His real name is Chinedu Ikedieze.
aki-and-wife.jpg-771457.jpg
 
hee makubwa'kazaliwa mwaka 1977?
du huu kali that means mkubwa kuliko mm
sidhani kama naniliu yake itananiliu kwa vile ni kama ya mtoto wa darasa la 4.
 
hee makubwa'kazaliwa mwaka 1977?
du huu kali that means mkubwa kuliko mm
sidhani kama naniliu yake itananiliu kwa vile ni kama ya mtoto wa darasa la 4.
Kule nanii kunaweza kuwa mzigo mkubwa wa kumtosha bibie bila shida.
 
Mbona hata Tanzania zinaruhusiwa?
 
size ya huyu bwana arusi sijui inaweza kufika kule kunakao au itaishia juu juu tu kwa bibi arusi...
 
Ndo tatizo la rugby..
mtu akichemsha kwenye RWC ana retire.
Hata coach na captain wa RSA na wao wame retire..
Anyway miaka 32 si mbaya . Na tayari Heshima zote la
RWC 2003 ni zake.. akapumzike tu..

In football we never retire until we are 40
 
Huyo ni kijeba baby face. Mwanamuziki Paula Abdul alishawahi kutoa album ya Opposites attract kwa maana ya kwamba wafupi huvutiwa na warefu, wanene kwa wembamba, etc, and vice versa.
 
duuh kulingana na makuzi kama huyu jamaa ndo amefikia mwisho wa kukua pale atakuwa na kipenseli si mnawaona watoto wetu wa ukubwa ule saa sijui itakuwaje ataelea tuu jujuu au atafute strapons awe anavaa kumburudisha bibie na aki pizi awe ana kinga nje na kumiminia ndani!!!!1
 
Huyo si mtoto ni mtu mzima huyo sema tu ni emolo hata hivyo amechelewa sana kuoa
 
du! sijui kny sita kwa sita itakuwaje mbona hana mzigo?
 
Hii kali..si angetafuta mfupi mwenzake jamani?
 
Mopaozi, huyo sio mtoto kwani kwa komenti za wengine kumbe ana umri kama wangu.

Kwani hata wengine hutokea mashine zao zikawa ndogo il-halli wao ukiwaona mijibaba ya miraba mine, na kinyume chake wengine unaweza ukasema nikikohoa si kitatoka kumbe nenda uone kilichomtoa kanga manyoya katika ................................ kwa habari yake.
 
Back
Top Bottom