Ndoa za wasomi

Hapo umetia point
 
Huwezi kulinganisha tabia ya MTU na kiwango chake cha elimu
Wapo wenye elimu zao wenyesifa na wasio na sifa za kuwa mke bora kutokana na utofauti wa tabia kwa hiyo cha msingi hapo angalia tabia yake
 
Wana wake wasomi mm lasaba aposasa kwenye ngeli rugha gongana mambo ya fedhea hayo
 
kabisa, na mimi pia napenda mwanaume aliyesoma, mwanaume/mwanamke asiye na shule hata siri hana yaani akidet na mtu lazima marafiki zake wote wajue.

mimi sipendi kabisa mwansume asiye na shule, huwezi hata kuchat naye, kiingereza kidogo tu anashindwa kuelewa, hata mambo ya duniani anakuwa hajui zaidi ya ushilawadu.
 
Me huwa najiuliza,ndoa za watu ambao hawajaenda vidato huwa ziko vipi?maana naona kama zimekaa kipori pori flani hivi.
Ha ha! yaani nimekupenda bure, hata mimi nahisi hivyo hivyo, mwanamke vidato bwana.
 
Hakuna uhusiano kati ya Elimu na ndoa ,kutokua na elimu na ndoa ,ndoa ni habari nyingine ,mapenzi ya dhati na maelewano ndio kila kitu ktk ndoa.
 
Me naamini mwanamke kuwa Wife material its not a miracle at all.! Bali alikuwa katika jamii ama malezi gani.? Na pia anaelimu ya kifamilia kiasi gani na zaidi anajua nin maana ya kumheshimu&kumjali mumewe..! Thats wat matters most
 
Siikani post yangu... Naelewa nilichokiandika ndo maana nikakataa unachosema!!! Nafahamu kua mwanamke na mwanaume hawawezi kua na usawa wanaosema watu. Sema wanaume wanaogopa wadada wasomi sababu ni ngumu kuwapelekesha na kuwaonea
Hakuna mwanaume anaemuonea mwanamke mtii,mpole na mnyenyekevu kwake.
 
Msomi maana yake nn? Tuanzie hapo labda
Kwa mujibu wa vigezo vya kimataifa Msomi ni mtu mwenye elimu ya Shahada ya kwanza (Bachelor's degree) na kuendelea.
Kwa vigezo vya jamii yetu hata form four ni msomi teh teh...
 


Challenges zipo mr Iceman, nakubali. Nakupata pia unavyosema upande wako uvumilivu hakuna, I can only imagine mwanaume anayepitia hali kama hiyo. Kwa kweli inahitaji uvumilivu.

Na kama huyo mama wa Pepsi, naelewa kuna wanawake wa hivyo na ambao waliona hawawezi kufanya yote na kuacha moja.
(for the case I know) Malkia wa nguvu kama mke wa kampelewele but with the MBA, alidrop kazi yake nzuri kwa muda kwa ajili ya kumaliza kuzaa na kulea watoto wake wadogo, then she went back to the workforce. So ni kweli challenges zipo but, someone need to find a way around it and then.. she can have it all.
 
Nakupendaga sana kwa sababu umezidi kujitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…