Ndoa za wake wengi katika ukristo

Wewe oa wanne kijana,ikiwa biblia imemuongelea huyo 'mshikaji' alizaa na wanawake wanne sasa why uwe na mashaka?achana na sheria za Italia,chukua maandiko ya mungu,fata nyayo za Jacob tu sasa maana hakuna namna...!
We jamaa fala sana hahaaa!!!!
 
Lakini mwisho wa siku akanyanyua mikono juu na kumkosea muumba wake
Wewe ulweso wewe manabii wenyewe watumishi Kama Jacob na elkana hawakutosheka na mke mmoja wakaoa wake wengi,ndo tusioe wanawake wengi wanaume wa 2018,??? hakuna mwanaume anayeweza kukaa/ kutosheka na mke mmoja dunia hii, hayupo na hatokuja awepo hata mumeo anachepuka sema tu hujajua,
 
Tuko chini ya agano jipya. Fata kilichopo ndani ya agano jipya na agano la kale libaki kukufundisha mambo ya zamani na historia. Ila kizazi chako kipo chini ya agano jipya. Kila laheri.
 
Tuko chini ya agano jipya. Fata kilichopo ndani ya agano jipya na agano la kale libaki kukufundisha mambo ya zamani na historia. Ila kizazi chako kipo chini ya agano jipya. Kila laheri.
Yesu hakuja kutengua torati Bali kutimiza
 
Uliyesema Mungu aliumba Adam na Eva tu , naona alikosea angeumba Adam wengi na Eva wengi kuepuka mtu kuzaa na dada yake
 
Ahsante kwa hii

Nimejifunza vingi
 
Adamu alikuwa anaishi na wanyama tu hivyo hakuwa na wakufanana naye zaidi ya nyumbu tembo na nyati
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa sawa kiuchumi , oa kadiri unavyojisikia ila utoe haki kwa wote . Achana na uwongo wa kanisa wewe piga harusi za kiserikali kwa kwenda mbele . Wenye mke mmoja wanafanya maajabu mtaani , nafuu tu wahalalishe hizo nyumba ndogo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Mungu alitoa mbavu ngapi kwa Adamu? Si alitoa ubavu mmoja tu, yaani Eva? Sasa kama unaamini ubavu wako ulitawanywa kwa akina "Eva" wanne basi oa wake wanne.
Hivi ni kweli Adam na Hawa ndio viumbe wa kwanza duniani,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…