Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mmh sijui ni mapepo sijui laana sijui nasema sijui
jamani hizi ndoa mbona sasa zinachekesha naona watu wanaoana na kuachana kama karanga hivi nani kakutuma uende kuoa??umelazimishwa kuolewa kwa nini ukamaribie mwenzio maisha yake...ama unataka kuingia kwenye guiness book nasema acha kama auko tayari na ndoa usiikimbilie mungu anamakusudi kukaa mpoaka sasa kuna mwenzio anakusbiri kwa wakti muafaka...usilazimishe ndoa ukamuangamiza maisha mwenzio
hakika laana ya dunia aitakuacha nasema wewe unaemcehzea mwenzio ovyo tena mkome wana jinsia hiii
nawatakia chaguop jema
jamani hizi ndoa mbona sasa zinachekesha naona watu wanaoana na kuachana kama karanga hivi nani kakutuma uende kuoa??umelazimishwa kuolewa kwa nini ukamaribie mwenzio maisha yake...ama unataka kuingia kwenye guiness book nasema acha kama auko tayari na ndoa usiikimbilie mungu anamakusudi kukaa mpoaka sasa kuna mwenzio anakusbiri kwa wakti muafaka...usilazimishe ndoa ukamuangamiza maisha mwenzio
hakika laana ya dunia aitakuacha nasema wewe unaemcehzea mwenzio ovyo tena mkome wana jinsia hiii
nawatakia chaguop jema