Ndoa za mkataba zisaidia maendeleo zaidi

High Vampire

JF-Expert Member
Nov 17, 2012
2,915
2,083
Nchi za ulaya zimeendelea zaidi katika maendeleo ya family sababu kule ndoa si kifungo kabisa hata nchi za Africa kama kutakuwa na ndoa za mkataba zitasaidia Mambo kama haya
1.kulinda Mali za wanandoa kabla hawajaanza kuwekana ndani inamaana kunakuwa na form mnajaza kabla ya kuoana Mali mlizonazo na zile za baada ya kuoana ndio zitagawiwa incase mkataba ukiisha na hamtaki kuendelea
2.zitapunguza manyanyaso ndani ya ndoa ikitokea mmoja anasumbua unasubili Tu mkataba uishe kila mtu ale alichovuna
3.zitasaidia kuwa makini Kwa wana ndoa

Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
 
Tatzo huku kuna mapimbi yamefanya ndoa kama ni ajira,halitakubal iwe ya mkataba.

Nimenaswa kizembe
 
Hasara za hii mikataba ni kubwa sana na haziwezi kufidiwa. Kuanzia kisaikolojia watoto wana athirika sana. Hata huko walikoendelea ambako mtoto anaweza kupatiwa mahitaji muhimu yote na ustawi wa jamii lakini hawawezi kutoa mapenzi na ushauri wa mzazi.
 
Wazungu wametuletea mambo mengi magumu ambayo wao hawayafanyi kabisa na hawana habari nayo...
 
Back
Top Bottom