a hope
Senior Member
- Oct 23, 2022
- 163
- 342
Wakuu huwa najiuliza sana ivi ni kwani haya mashirika ya kutetea haki mwanamke na hizi NGO's ambazo hasa zinapigania haki za wanawake afrika na hasa za hapa kwetu Tanzania huwa hazisemi chochote linapokuja suala haki za mwanamke katika ndoa mitala?
Kwa sababu kama kuna jambo linalo 'udharirisha' utu wa mwanamke na kuthibitisha kabisa kuwa mwanamke ni chombo cha starehe basi ni polygamism.
Kwanini haya mashirika huwa hayasemi chochote? Au ni kwasababu wao wanawake ni wanufaika wa ndoa hizi?
Kingine,mwanamke kukubali na kuridhia kuolewa mke wa pili,mke wa tatu,mke nne mke wa tano mke wa sita..hii huwa ni nini?
Je ni tamaa? Ni njaa? ni umaskini ? Ni uhaba wa wanaume? Kwa wanaume pia huwa ni nini?
Nimefikiria sana huyu jamaa pamoja na pesa na umaarufu alio nao lakini ana mke mmoja tu Na ameridhika..sasa hii mitala Africa chanzo ni nini?
Kwa sababu kama kuna jambo linalo 'udharirisha' utu wa mwanamke na kuthibitisha kabisa kuwa mwanamke ni chombo cha starehe basi ni polygamism.
Kwanini haya mashirika huwa hayasemi chochote? Au ni kwasababu wao wanawake ni wanufaika wa ndoa hizi?
Kingine,mwanamke kukubali na kuridhia kuolewa mke wa pili,mke wa tatu,mke nne mke wa tano mke wa sita..hii huwa ni nini?
Je ni tamaa? Ni njaa? ni umaskini ? Ni uhaba wa wanaume? Kwa wanaume pia huwa ni nini?
Nimefikiria sana huyu jamaa pamoja na pesa na umaarufu alio nao lakini ana mke mmoja tu Na ameridhika..sasa hii mitala Africa chanzo ni nini?