Straddler
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 722
- 191
Mbona zinaa hamuichukii na wakati imekatazwa pia na dini zote na ni kinyume na hayo mnayoyaita maadili ya Mtanzania.Kama mengine mnavyoyafagilia na hili pia linafagiliwa tumetofautiana tu vitengo jaman.
Eeeeh...??????..:shock:.. Hapa nina wasiwasi.