Ndoa yangu haina amani

Nakushauri usiwaze kuusu wanao mkeo wala wazazi wako usipokuwa makini kuna magonjwa nyemelezi yanakuja mbele yako ambayo ni afya ya akili, presha, vidonda vya tumbo na mengine mengi ama mkoa katafute maisha sehemu nyingine kosa ulilofanya ni kuacha kulinda kile ulichokuwa nacho mkononi nenda mbali kapiganie maisha yako mke kashapata wakumpa furaha ninngumu sana kukuelewa tena angalia furaha yako zaidi kufa kwaja Ila usikubali kufa kinyonge ivyo kabla hujazeeka . Go out broo and find money


Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Ni vizuri ungempa ushauri nini afanye, kuliko kumlaumu na kumshangaa tu. Wanaume hatufanani
 
Sasa hapo mkuu c hakuna wa kuolewa sayari ya dunia
Bro wapo tena wengi tu, tena sayari hii hii sasa we jichanganye maana ndoa ni familia yako ya baadae kama unatafuta tako watakuhujumu
 
Hata la kwetu.

Yaani mwanamke niliyrmuoa Mimi aniambie eti hajapika??

Achilia mbali sijui bange zingine??


Nitamla aisee
 
Nenda mkuu, kama unakuja huku nilipo nitakupa accomodations kwa miezi sita
 
"Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje"............haha acha kupenda gaji kibanda umuza ni buku, tu uliomba 2000 ya nini? Ndomaana alikushutukia.hahahaha mayanyaso ya wanawake yasikie tu.
 
Wale mnaojifanya wazungu...wapenzi ya tamthilia...unaishi na mkeo una mchekea chekea...mimi hapo angetembelea kipigo heavy siku mbili ndani
 
Je,ulipokuwa vizuri kiuchumi umewahi kumnyanyasa?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wale wanawake waajiriwa wa mama samia na wewe ukute kazi zako ni za kusimama simama, sasa maliza siku kazi haieleweki ndo utajua mwanamke alivyo.

Mwanamke sio mtu wa kumtegemea sana, hasa ukiwa katika hali tete mke hata awe na ajira yake, yupo radhi akatoe mchango wa 300k wa harusi ww asikupe kitu hata kama unauhitaji na kile unachokitafuta ni cha kwenu wote. Hela ya kwake ni yake ila ya kwako ipo kwenye bajeti ya matumizi, kula mavazi na kila kitu.

Laiti kama wanawake wangekuwa wao ndio wanaume na sie tukawa wanawake, tungeishi kwa shida sana humu duniani kwa hiyo mioyo yao ilivyo.

Ndio mana mwanaume mwenye tabia za kike kike huwa ni mtu mbaya sana
 



Hiyo namba 5 ni mimi kabisa

Basi sitoolewa
 
Mkuu fanya juu chini jaribu kuyumbisha hiyo biashara anayofanya mkeo ili wote muwe sawa na muanze upya.
Hiyo huenda ikasaidia.
mkuu wew una roho, ngumu mno sa madogo watasomaje na kulaje??
 
Mkuu fanya juu chini jaribu kuyumbisha hiyo biashara anayofanya mkeo ili wote muwe sawa na muanze upya.
Hiyo huenda ikasaidia.
asiyumbishe ,ila achukue kiasi kwenye hiyohiyo biashara ili aanzishe kitu kingine maana hiyo ni sawa na backup ya familia anahakinayo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…