Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
- Thread starter
- #41
Hapo vizuri!!Labda hiyo ni tatizo kwa ndoa zisizo za Kiislam, ndoa zote za Kiislam ni mkataba "Aqd".
Hapo vizuri!!Labda hiyo ni tatizo kwa ndoa zisizo za Kiislam, ndoa zote za Kiislam ni mkataba "Aqd".
Hahahaha mamaa kifimbo cheza, "huko shule walienda kusomea ujinga"Labda hiyo ni tatizo kwa ndoa zisizo za Kiislam, ndoa zote za Kiislam ni mkataba "Aqd".
Tena mkataba uwe miaka miwili miwili au mmoja ndoa ikizingua unagoma ku renew kila mtu atambae na hamsini zake hakuna kugandana watoto tutalea juu kwa juu mbele kwa mbele....
Itakuwa tiba kama unvyotumia ARV na madawa mangine hospitalini dhidi ya tatizo mflaniKwahiyo huo mkataba utafanya tusife????
Ahaa....basi sawa!Itakuwa tiba kama unvyotumia ARV na madawa mangine hospitalini dhidi ya tatizo mflani
Ukiona mwanaume anadai ndoa ya mkataba ujue ni mvulana
Angekuwa anadai labda ndoa zaidi ya mke mmoja ningrmwelewa ila mkataba
Nishamtoa kwenye kundi la wanaume[/QUOTE
Mimi siwezi kubishana na maneno ya taarabu au kwenye kanga.. Mimi na badilisha na facts źa research.
Bdo sijaingia kwenye ndoa lakini wakati nafanya poverty analysis kwa kumuangalia head of the household... Nimekuta wengi katika kaya ambaya inamzazi mmoja aliyebaki ni mwanamke.. Na reasons za wanaume kutangulia kufa ni sabababu ambazo nimeanisha hapo juu.. Pia watu wanaosema ndoa ni tamu ni couple moja kati ya 200,fanya research...
Mimi siogopi kufa ila sipotayari mtu awe chanzo cha mimi Kutangulia kufa.
hii lugha bhana tungekuwa tunaipotezea tu labda mpaka ukiitwa kwenye interview maana unaweza kuwa na point ila michapio inapoteza kabisaSema hivi: what do you mean brother?
Watanzani ndio watu Duniani wanaokosoa kitu ambacho wao wenyewe hawakifahamu,sasa kama kiswahili tu watu hawazungumzi kwa ufasaha licha Ya lugha za wenzetu, Wamarekani wenyewe hawazungumzi grammatical English,wanaozungumza kwa ufasaha ni waingereza tena sio wote licha Ya mimi Mtanzania, lakini sio kosa lako ungekua na elimu yakutosha usingeconcentrate kwenye hilo bali ungeangali maudhui Ya hoja.hii lugha bhana tungekuwa tunaipotezea tu labda mpaka ukiitwa kwenye interview maana unaweza kuwa na point ila michapio inapoteza kabisa
elimu ya kutosha ni ipi?? hiyo ndo shida ya watanzania wengi kwani ulivyorekebishwa umeumia?! usitumie lugha kama huijui vizuri!!!Watanzani ndio watu Duniani wanaokosoa kitu ambacho wao wenyewe hawakifahamu,sasa kama kiswahili tu watu hawazungumzi kwa ufasaha licha Ya lugha za wenzetu, Wamarekani wenyewe hawazungumzi grammatical English,wanaozungumza kwa ufasaha ni waingereza tena sio wote licha Ya mimi Mtanzania, lakini sio kosa lako ungekua na elimu yakutosha usingeconcentrate kwenye hilo bali ungeangali maudhui Ya hoja.