Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,117
- 856
Rafiki yangu alinihadithia mgogoro kwenye ndoa yake japo chanzo nilipata kukijua miaka mingi iliyopita! Wakati rafiki yangu akiwa na miaka 19 alipata mtoto na msichana wa mtaani dogo enzi hizo alikubali lkn kumbe yule dada alikua na kadi mbili za clinic.
Baada ya raia kumtonya jamaa akasusa kila kitu na msichana akasepa na mtoto! Baada ya masomo na miaka mingi kupita rafiki yangu akaoa! Miaka mitatu ndani ya ndoa yule mtoto akaibuka na mama yake kumtafuta baba yake! Msimamo wa rafiki yangu ukawa bila DNA sihusiki na huyo mtoto! Kutokana na utata wa awali! DNA Ikafanyika results 99.9999% matching!! Rafiki yangu akaogopa kumwambia wife ambae tayari alikuwa na mimba ya mtoto wa kwanza! Akaona Ngoja amhudumie mtoto kupitia sister wake basi dogo kapiga kitabu na shule za uhakika Hadi mwaka huu anakwenda kuanza chuo kikuu.
Maneno yalikuwa mengi mke wake alisikia kua mumewe ana mtoto mkubwa zaidi ya yule alie naye! Jamaa akiulizwa anakataa kutokana na ukali wa mkewe! Sasa Siri imefichuka na mke anaona maisha yao yote yalitawaliwa na uongo! Anataka kuvunja ndoa!
Anaomba ushauri wenu afanyaje!? Now kijana yupo ana miaka 22 mwaka wa kwanza UDSM.
Baada ya raia kumtonya jamaa akasusa kila kitu na msichana akasepa na mtoto! Baada ya masomo na miaka mingi kupita rafiki yangu akaoa! Miaka mitatu ndani ya ndoa yule mtoto akaibuka na mama yake kumtafuta baba yake! Msimamo wa rafiki yangu ukawa bila DNA sihusiki na huyo mtoto! Kutokana na utata wa awali! DNA Ikafanyika results 99.9999% matching!! Rafiki yangu akaogopa kumwambia wife ambae tayari alikuwa na mimba ya mtoto wa kwanza! Akaona Ngoja amhudumie mtoto kupitia sister wake basi dogo kapiga kitabu na shule za uhakika Hadi mwaka huu anakwenda kuanza chuo kikuu.
Maneno yalikuwa mengi mke wake alisikia kua mumewe ana mtoto mkubwa zaidi ya yule alie naye! Jamaa akiulizwa anakataa kutokana na ukali wa mkewe! Sasa Siri imefichuka na mke anaona maisha yao yote yalitawaliwa na uongo! Anataka kuvunja ndoa!
Anaomba ushauri wenu afanyaje!? Now kijana yupo ana miaka 22 mwaka wa kwanza UDSM.