DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,475
- 99,169
Kama ameichoka ndoa arudi tu kwao, yanini kung'ang'ania?Huyo bibie aliichoka ndoa na huyo Mwanaume atavuna alichopanda.
Wanawake skuhizi mna vijimaneno maneno vya ovyo kuwatisha tisha tu wanaume Dhaifu.