Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Naomba ugeuze haya maneno kuwa tungo ya mziki uje uimbe kanisani kwetu mlima WA Moto 🔥🔥🔥
 
Kwa maneno yako nazidi kuthibitisha kuwa ulokole sio kumjua Mungu zaidi bali ni kuzificha dhambi na kuishi maisha ambayo kiuhalisia sio yako na ndivyo walokole wengi wanavyoishi, bora wewe unaeyaishi haya na umekubali ila wengine wanaficha sana. Najua hainihusu ila walokole wengi wanafake life sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…