- Thread starter
- #21
Mwanakijiji na Masanilo acheni udini mna lipeleka taifa pabaya
Kumbe ndiye huyuJanuary ... ni wewe na wana mtandao wenu ndio mnaolipeleka taifa pabaya!
January ... ni wewe na wana mtandao wenu ndio mnaolipeleka taifa pabaya!
Na niniyi si mlishafanya "makubaliano" ya siri na Kanisa Katoliki na Pengo kaahidi kumsaidia Slaa na kuikomboa nchi kutoka kwa waislamu, tatizo lipo wapi hapo?
Hii kitu ipo, kuna habari za uhakika nilizopata toka kwa mtu wa karibu na uongozi wa juu wa CUF(mjumbe). Aliniambia baada ya CUF na CCM kukubaliana kufanya kazi pamoja Zanzibar CUF wakashauri kwanini pasifanyike pia bara? mleta habari akaniambia ilionekana ni ngumu sana kuingiza makubaliano ya aina hiyo bara kwa vile CUF haina support kubwa huku ingeleta manung'uniko kwa vyama vingine, lakini CUF wakawa na assurance kama watashirikiana wakati wa uchaguzi CCM inaweza kutenga angalau wizara moja ikawa chini ya CUF. Naomba msiniulize ushaidi zaidi lakini hiyo habari ni ya uhakika 100%.
Arusi? Ndio kitu gani ebu tufahamishe na sisi ili tujue.Hii "arusi" ilikuwa lini jamani?
Mkuu si suala la udini na sisi hatuko huko (simsemaji wa Mwafrika) hii issue ni kubwa si nyepesi kwa ustawi na maendeleo ya nchi yetu. Tutaweka hapa hold on wakati muafaka. Soma maneno yangu
Na niniyi si mlishafanya "makubaliano" ya siri na Kanisa Katoliki na Pengo kaahidi kumsaidia Slaa na kuikomboa nchi kutoka kwa waislamu, tatizo lipo wapi hapo?
Jitizame vizuri inawezekana una homosexual elements ambazo hazijatoka kabatini...:confused2:What the F is this? when was that? when did they get married?
hiyo picha mh kikwete alikuwa amewakaribisha FUTARIIII wanao mwajibisha ambao wengi wao ni CUF. chadema,zamu yao bado