bonna
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 855
- 520
Salam,
Nimesukumwa kuandika hii post baada ya kusoma matukio kadhaa ya watu walio kwenye ndoa wakielezea majuto na shida wanazopata ahahhahaha.Wengine wamefikia hatua ya kutafuta wanaume au wake wa kizungu..au race nyingine ila huko ndo hali inakua mbaya zaidi..Ningependa kuwakumbuusha ndugu zangu wana JF...NDOA SIO LAZIMA JAMANI.HAKUNA MAHALI IMEANDIKWA KUWA LAZIMA KUOANA.so, be happy with what you are doin and live your life...you only live once friends ahahahha
Welcome to Our Single Community Forum www.singleshelp.org ahhhaha huku tunapeana hopes and how to enjoy life...hamna stories za cheating..ohh! mara ameninyima sex...mara nanii yangu ndogo etc.
Nimesukumwa kuandika hii post baada ya kusoma matukio kadhaa ya watu walio kwenye ndoa wakielezea majuto na shida wanazopata ahahhahaha.Wengine wamefikia hatua ya kutafuta wanaume au wake wa kizungu..au race nyingine ila huko ndo hali inakua mbaya zaidi..Ningependa kuwakumbuusha ndugu zangu wana JF...NDOA SIO LAZIMA JAMANI.HAKUNA MAHALI IMEANDIKWA KUWA LAZIMA KUOANA.so, be happy with what you are doin and live your life...you only live once friends ahahahha
Welcome to Our Single Community Forum www.singleshelp.org ahhhaha huku tunapeana hopes and how to enjoy life...hamna stories za cheating..ohh! mara ameninyima sex...mara nanii yangu ndogo etc.