Ndoa raha bwana ukipata ubavu wako

Ndoa raha bwana ukipata ubavu wako

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
nakuambia ndoa ni raha sana asikuambie MTU Mimi Nina mwaka wa kumi na moja kwenye ndoa lakini furaha yetu ni kama siku ile ya kwanza full utani na kupendana sana. Siri ni moja tu kushika dini yenu au imani yenu kwa mungu na kuwa waaminfu kila kitu kitakuwa safi.
 
Heko kwenu. Na mshukuru Mungu kwa hilo sio kutamba.
nakuambia ndoa ni raha sana asikuambie MTU Mimi Nina mwaka wa kumi na moja kwenye ndoa lakini furaha yetu ni kama siku ile ya kwanza full utani na kupendana sana. Siri ni moja tu kushika dini yenu au imani yenu kwa mungu na kuwa waaminfu kila kitu kitakuwa safi.
 
Hongera zenu Mkuu 🙏🏽👍🏽

nakuambia ndoa ni raha sana asikuambie MTU Mimi Nina mwaka wa kumi na moja kwenye ndoa lakini furaha yetu ni kama siku ile ya kwanza full utani na kupendana sana. Siri ni moja tu kushika dini yenu au imani yenu kwa mungu na kuwa waaminfu kila kitu kitakuwa safi.
 
nakuambia ndoa ni raha sana asikuambie MTU Mimi Nina mwaka wa kumi na moja kwenye ndoa lakini furaha yetu ni kama siku ile ya kwanza full utani na kupendana sana. Siri ni moja tu kushika dini yenu au imani yenu kwa mungu na kuwa waaminfu kila kitu kitakuwa safi.
Ongera yako
Wengine huku ni full Majanga.
Mme anachelewa kurud nyumban? Akirud Kalewa chakar? Hatuwezi hata kukaa tukajadili Maisha.
Hujakaa sawa kesho wanakuja watu ntumban wanamdai fedha!
Yani we acha tuu ni Shida tupu.
 
Ongera yako
Wengine huku ni full Majanga.
Mme anachelewa kurud nyumban? Akirud Kalewa chakar? Hatuwezi hata kukaa tukajadili Maisha.
Hujakaa sawa kesho wanakuja watu ntumban wanamdai fedha!
Yani we acha tuu ni Shida tupu.
Tatizo watu wakishaolewa wanavaa kizee na kupoteza mvuto,vaa mavazi ya kumtamanisha mzee
 
Mzee baba leo shemeji kaongeza viuongo kwenye chakula nini?


Hongera.
Nimeona lawama zimezidi sana humu jamvini nikaona ngoja mimi niwape maneno kidogo. Unajua kwa nini wanaum wengi tunatumia akili za like badala ya kutumia akili ya wanaume. Akili ya wanaume ina kipimo chake na maamuzi ya kujenga na ya kutia hofu nzuri
 
Back
Top Bottom