Ndoa Pasipo Kumuona Mkeo. My true love life story

Mtanganyika

JF-Expert Member
Jul 18, 2007
1,601
945
Jee unaweza kuoa mke pasipo kumuona? Waungwana mimi natauliza ni wanaume wangapi mnaweza kuoa pacage, yaani mke yupo Dar na wewe upo ng'ambo?
 
David_Paterson_Photo.jpg
 
Labda hili nikusaidie kulijibu kwa misingi ya kitanzania ninayoijua mimi.Ndoa ni makubaliano ya watu wawili wenye jinsia tofauti na pande zote zinaridhia kwa hiari makubaliano hayo ya kua mume na mke.Sasa ndg yetu ulioko huko ughaibuni,kama umekwisha kubaliana na huyo mwanamke kabla ya kufunga ndoa na mkaridhiana na siku ya ndoa haukuweza kuhudhuria misa ukawakilishwa na mdogo wako then marriage can exist under this circumstances.

Sasa sielewi wewe uko upande upi,au humuoni kwa misingi ipi?Hujawahi kuchungulia mlango hata siku moja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom