MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
kwani we tayari ukundini?Tunaingia ndoani tukiwa hatujaiva vizuri...
kwani we tayari ukundini?Tunaingia ndoani tukiwa hatujaiva vizuri...
ndo mana hatuwowihawaamini kama mwaka umeisha ... ndiyo maana kila mwaka wanaadhimisha muda wowote kinaweza kunuka
Ndo najiandaakwani we tayari ukundini?
mmh!! uko kwenye rieso etiee... miaka 4Ndo najiandaa
Yani hata miaka10 poa tu,mpaka niive vizuri tehmmh!! uko kwenye rieso etiee... miaka 4
Yaani kiukweli wanawake wanafanya maisha ya kimahusiano yanakuwa magumu hafu wao ndio wa kwanza kukesha katika mihadhara na maombi eti mungu mbadilishe mpenzi wangu awe kama zamani bila wao kuangalia wamechangia kiasi gani mabadiliko mapya.Kuna uzi niliuleta hapa, mtoto wa shost alikutana na boyfriend chuo kikuu, akawa mchumba hatimae mume. Wameanza maisha, baada ya kujifungua ndiyo kijana aliisoma number. Mke analoweka nappy za mtoto mpaka mume atoke kazini afue na kupika. Kijana alipopata upenyo wa kusepa hakugeuka nyuma.
Yaani kiukweli wanawake wanafanya maisha ya kimahusiano yanakuwa magumu hafu wao ndio wa kwanza kukesha katika mihadhara na maombi eti mungu mbadilishe mpenzi wangu awe kama zamani bila wao kuangalia wamechangia kiasi gani mabadiliko mapya.
At times being single is better than being in a relationship
wengine hata huo mmoja hawafikishi,wanasherekea kwa kuwa hata wao hawajaamini hivi kweli wamafikisha siku 360,zamani walikuwa wanasherekae wakifika saaan 50,nowdeiz hata huo mmoja ni supriseUtakuta vijana wanasheherekea mwaka mmoja wa ndoa....! Inasikitisha
hahahahahahah teh raha sanahawaamini kama mwaka umeisha ... ndiyo maana kila mwaka wanaadhimisha muda wowote kinaweza kunuka
Acha kumdanganya mwenzako wewe pimbiMkuu siku hiz atuoi tunazalisha tu
Kabisa....!wengine hata huo mmoja hawafikishi,wanasherekea kwa kuwa hata wao hawajaamini hivi kweli wamafikisha siku 360,zamani walikuwa wanasherekae wakifika saaan 50,nowdeiz hata huo mmoja ni suprise
Tunaigana flani kaolewa au kaoa na mimi nasubiri nini....Tunaingia ndoani tukiwa hatujaiva vizuri...
Matokeo ndio hayo ndio inakua chungu wakati inapaswa kua paradise ndogoTunaigana flani kaolewa au kaoa na mimi nasubiri nini....
Weww utakuwa mwanaume wa dar unaogopa majukumu umezoea kulelewa na mwanamkeMkuu siku hiz atuoi tunazalisha tu