Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,276
Na kipindi kile cha zamani mali zote zilikuwa chini ya baba, mashamba wakina mama wanaenda shamba kulima yakifikiwa kuvunwa mama hana chake ni ya baba kwa maana ingine uchumi ulikuwa ukimilikiwa kwa asilimia yote na wanaume na ukijumlisha na maadili ya enzi zile basi baba lazima awe kichwa cha familia tu...Sasa hivi hata sisi wanaume tunachangia kuporwa haki yetu ya kuwa kichwa cha nyumba..Mwanaume huna na hutaki kazi unalelewa tu na mwanamke uchumi wa familia anaushikilia mama wewe unabaki kumpeleka kazini then unazunguka tu na gari la wife mtaani hadi pesa ya nguo za ndani ni yeye anakupa...Hii tabia ya umarioo inatuaribia sifa zetu sana..Mwanaume umepaka rangi na umefuga kucha..Halafu uitwe kichwa cha familia...
tehe tehe tehe tehe..................................