View attachment 45036
Nashangaa wanaoweka magarama ya ajabu ajabu wakati maisha ni simple kama hivyo
​.....................masista duu wetu wa leo sidhani ka atakubali kuolewa dizaini hii
Hasa hawa ambao mnawadanganya hapa JF
Hasa hawa ambao mnawadanganya hapa JF
kama yapi??unauhakika gani kama wametokea msikitini/kanisani?!Hata kama ni ukata ila mahitaji yote ya ndoa si wameyatimiza?
Ugharama wa harusi nawenyewe unaheshima yake bhana sio inakuwa kama mlizaliwa kwa bahati mbaya aisee....duh!!!...ndoa ya kihivyo hata wageni wanaweza wasije kuwatembelea maana watajiuliza ndoa yao yenyewe wamepakiana kwenye wilbaroo sa wataweza kumuhudumia mgeni hao?
he he he safi sana no gharama