Ndoa ni ndoa vingine mbwembwe

Shine

JF-Expert Member
Feb 5, 2011
11,481
1,364
251405_175421429181828_100001419162673_426419_734917_n.jpg

Nashangaa wanaoweka magarama ya ajabu ajabu wakati maisha ni simple kama hivyo
 
Hicho ni kituko wala hamna kitu. kama ni gharama si watembee tu waende zao?
 
​simple as that.....................huuuuuuuuuuuuh masista duu wetu wa leo sidhani ka atakubali kuolewa dizaini hii
 
Sidhani kama ndoa ikiwa ya garama saana ndo itadumu ama?
 
Ugharama wa harusi nawenyewe unaheshima yake bhana sio inakuwa kama mlizaliwa kwa bahati mbaya aisee....duh!!!...ndoa ya kihivyo hata wageni wanaweza wasije kuwatembelea maana watajiuliza ndoa yao yenyewe wamepakiana kwenye wilbaroo sa wataweza kumuhudumia mgeni hao?
 
Ugharama wa harusi nawenyewe unaheshima yake bhana sio inakuwa kama mlizaliwa kwa bahati mbaya aisee....duh!!!...ndoa ya kihivyo hata wageni wanaweza wasije kuwatembelea maana watajiuliza ndoa yao yenyewe wamepakiana kwenye wilbaroo sa wataweza kumuhudumia mgeni hao?

Kila mbuzi anakula kadiri ya urefu wa kamba yake
 
Back
Top Bottom