🤣🤣Wee, sema kweli?!ðŸ¤Doooh aiseee! Ndoa ni mtihani mkubwa ambao wengine tumeufaulu kiasi kikubwa tuna enjoy
😂😂😂😂Unapewa cheti kabla hujaitimu na hushituki😎
Sure, i can tell you hata mshahara wa Wife naupangia matumizi mimi kama baba wa familia and she's happy to be submissive to me.🤣🤣Wee, sema kweli?!ðŸ¤
Sema tukipenda tupo good mkuu,sipingiSure, i can tell you hata mshahara wa Wife naupangia matumizi mimi kama baba wa familia and she's happy to be submissive to me.
Of course nilichokisema hapo mwishoni ni sahihi kabisa.Minor true lakini umeanza vizuri juu ukamalizia na hoja ya ke pekeyake ndomana nikakukumbusha na me pia,ila sio mbaya nimtazamo wako wala me sipendi ligi hivyo ushindi nakuachia
Nimekubali aisee Upendo wa dhati wa Mwanamke ni wa viwango vya Juu.Sema tukipenda tupo good mkuu,sipingi
Kwa hiyo kisasi ni kumbambikizia mmewe mtoto ambaye sio wake?unaofanywa na wanaume ni nini mkuu?
Aisee!Nikasomee upadiri
Eeeh mkuu 😂Aisee!