Ndoa mbaya sana ikiwa...

G) Ndoa mbaya sana ikiwa unachagua mke kwa kuangalia wo wo wo na ikiwa unachagua mume Kwa kuangalia muonekano kama urefu kifua nk..
 
Hhhhhh kweli mkuuu alafu mwisho wa siku wowowo unaliona kawaida kwa sababu unapenda sama wowowo basi utapepesa macho kuangalia wowowowo za mitaani na hapo ndo utamuona mkeo wa kawaida,na utaanza kuwaza kumwaga na uweke ndani wa zaidi yake.

Utajikuta hutuliii tuu,kila mwanamke wako weweee
G) Ndoa mbaya sana ikiwa unachagua mke kwa kuangalia wo wo wo na ikiwa unachagua mume Kwa kuangalia muonekano kama urefu kifua nk..
 
Leo tumegusia uoande wa wanaume wanayoyakosea.

Siku nyingine tutagusia upande wa wanawake wanayoyakosea.
Haina maana kwamba ndo tumemaliza hapana mamy.nso wanawake wana nafasi yao ila tu tumewalenga wanaume kwa sababu wao ndo wana nafasi kubwa kuchagua.
Kwa hiyo ndoa inamuhitaji mwanamke bora na mwanaume yoyote?
 
Haya
 
Kwa hiyo ndoa inamuhitaji mwanamke bora na mwanaume yoyote?
Hapana sio kweli. Ndoa inahitaji mwanamke imara na mwanaume anayejitambua nafasi yake kama baba. Na kingine ambacho wengi tumesahau ni kwamba ndoa inahitaji kujishusha. Ikitokea wote wawili mkaweza kujishusha basi hiyo ndoa itakuwa na amani na upendo. Ikishindikana kwa wote wawili basi mmoja ajishushe. Tofauti na hapo hakuna ndoa kwani mafahali wawili hawakai zizi moja dada Hornet..
 
Ni kweli kabisa
Ndoa ni watu wawili
Waamue kwa pamoja,
Wajitambue
Wasikilizane na waheshimiane
Hapo utaiona furaha ya ndoa,

Unaweza ukachagua vyovyote uprndavyo kwa matamanio ya macho na mkaingia mkaelewana mambo yatanyooka tu.
 
Ni kweli kabisa
Ndoa ni watu wawili
Waamue kwa pamoja,
Wajitambue
Wasikilizane na waheshimiane
Hapo utaiona furaha ya ndoa,

Unaweza ukachagua vyovyote uprndavyo kwa matamanio ya macho na mkaingia mkaelewana mambo yatanyooka tu.
Kikubwa ni kwa wawili kutambua kuwa nyumba ni ofisi ya mama na wewe baba ni mwajiriwa katika ofisi hiyo. Usimuingilie katika mambo yanayohusu vitu kama mlo usafi na budget. Mpe matumizi yake na mpe uhuru wa kuamua afanye nini. Kama mke ana akili na busara utafurahia. Usisahau kabla ya ndoa ni muhimu kujua mwenzako akikasirika anakuaje na utamtuliza vipi. Japo kwa upande wangu sijawahi kumuona mke wangu amekasirika..
 
Hongera sana mkuu.
Mimi mara ya mwisho kumkuta amekasirika sikumbuki,zaidi namkera mimi tu na namuomba msamaha yanaisha.

Ukipata mwanamke poa burudani kabisa
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ukweli mtupu huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…