cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Wengi huangalia uzuri wa nje na kusahau inner beauty, maana uzuri hupotea tena wanawake tukizaa kunakuwa na changes nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana yani.
Ndoa inaanzia kwenye akili alafu yanafata matamanio.lakini ukianza kuchagua mke kwa kutumia genyeyenge basi kuangukia pua lazima.
Sent using Jamii Forums mobile app