Ndoa kazi...!

Ni kweli inaweza kutokea

Hapo blue, nimebaki na Duh! Labda hapa inabidi nirudi kwenye swali labda la msingi kwa wanmme
Wanajisikiaje wanapozidiwa kipato na wake zao?

Hakuna cha ajabu hapo. Wanaume tele wanafanya.

Mwanamke akiwa kila siku yeye ndo ana pesa mwanamme hana, kuna wengine ego zao haziwaruhusu kuendelea kupokea pesa kwa mwanamke kila wakati. Wanaona bora kukopa nje, ili kujenga heshima kwa wake zao

Nishashuhudia hilo.

{wanawake hao wanapokea mishahara zaidi ya mara 4 ya mishahara ya waume zao}
 
Mie ndio maana nakupendaga babu DC ,

Ya ninin unaapa "Nakupenda" afu unamwcha mwenza anakufa na madeni hadi anakopa?? Labda wewe akaunti ina pesa za kutosha?

Noi hatari sana, tena sana.

May be wengine tuliwekeza sana kwenye ndoa kiasi kwamba tunaonekana watu wa ajabu....!!

Pamoja na kwamba watu wanaweza kuwa na makubaliano yao, binafsi siwezi kumwelewa mwenzagu kama kaamuwa kunificha taarifa zake muhimu za pesa. Anazificha akazitumie wapi wakati tuko nyumba moja? Mie nikitoka kwenye ATM kitu cha kwanza ni kumrushia slip....aone kwamba dume lake limefulia au mambo ni mswano!


Mambo yake mengine (eg marafiki au ya familia yao) anaweza kuficha na hata nikijua sitamind!

Babu DC
 
Kwa kweli kukopa kwa ajili ya 'kuhonga' kwangu inamounguzia mtu marks hata ama ananihonga mie

Labda kama liwe tatizo la ugonjwa, nyumba ndogo ni starehe, hivi unaweza kopa pesa ya kwenda kunywea bia??

We...ujawahi kuona wanaume waliokaliwa wewe???? Huwezi mwambia nyumba ndogo matatizo yako ya kifedha...ma stress yote peleka kwa mkeo...hapo ni starehe tu. Akikooa wanamwaga pesa kulinda heshima.

Kuna mbaba tulikuwa tunafanya nae kazi...ilikuwa tukilipwa bonus tu utaona small house yake inatia timu...hapo tunajua amekuja kuzikomba. Chezea wanaume na nyumba ndogo zao.
 
Mbona wapo wanaokopa ela za kunywa. Umeshawahi kukutana na watu ambao hawawezi kulala bila kunywa???

Na kwa wenye nyumba ndogo unategemea iseme inahitaji ela utaleta sababu eti sina ela....kuwa na nyumba ndogo sharti uwe loaded otherwise umevaa viatu visivyo size yako. Utapigwa chini faster kama unaleta excuses.




Kwa kweli kukopa kwa ajili ya 'kuhonga' kwangu inamounguzia mtu marks hata ama ananihonga mie

Labda kama liwe tatizo la ugonjwa, nyumba ndogo ni starehe, hivi unaweza kopa pesa ya kwenda kunywea bia??
 
Mie kufichana taarifa za mapato linakwolifai 'divorce' bila wala kufikiria mara mbili lol

Lazima tuamue kama tunajenga wote Roma acha tushirikiane, kama tunajenga Istanbul basi acha tujenge wote Istanbul

Haiwezekani mmoja anawekeza Roma na mwingine yuko busy na Istanbul

May be wengine tuliwekeza sana kwenye ndoa kiasi kwamba tunaonekana watu wa ajabu....!!

Pamoja na kwamba watu wanaweza kuwa na makubaliano yao, binafsi siwezi kumwelewa mwenzagu kama kaamuwa kunificha taarifa zake muhimu za pesa. Anazificha akazitumie wapi wakati tuko nyumba moja? Mie nikitoka kwenye ATM kitu cha kwanza ni kumrushia slip....aone kwamba dume lake limefulia au mambo ni mswano!


Mambo yake mengine (eg marafiki au ya familia yao) anaweza kuficha na hata nikijua sitamind!

Babu DC
 
Ni kweli inaweza kutokea

Hapo blue, nimebaki na Duh! Labda hapa inabidi nirudi kwenye swali labda la msingi kwa wanmme
Wanajisikiaje wanapozidiwa kipato na wake zao?

Hapo ndo kwenye kiini cha hoja.

Hivi mwanamme akiwa ametokewa na dharura keshamkopa mkewe mara tatu kwenye mwezi huo huo mmoja, mara ya nne akiona bora akope nje (kwa tunavyowajua wanaume wengi walivyo), tutashangaa kweli?
 
all in all kuna wanaume hawapendi kukopa wala kupewa fedha na wake zao, heri akakope nje..... Inawezekana huyo akawa mmoja wao....


Ndiyo BADILI TABIA,

Ila ni sawa kweli jamaa akakope kwa mtu ambaye yuko karibu na mke wake??

Bado hapa kuna katatizo hata kama hatujui tatizo lenyewe ni lipi!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hali ya kawaida, huna pesa ukakope jamaa yako wakati mkeo kakwambia akaunti yake ina pesa??

kongosho,kwanza asante kwa ma-like kibao uliyonigongea!

well,nifafanue...kuficha au kudanganya ni pale unapoulizwa unakana,au unatamka mwenyewe kinyume na hali halisi,kama mke wangu katengeneza pesa ikaweka ktk acc yake na hajaniambia HAPO HAJAFICHA WALA HAJANIDANGANYA mpaka pale nikimuuliza aseme hana wakati anayo!

kwa case ya thread hii hatujui kama wanafichana au wameambiana,tungejua either of the two tungeweza ku-judge vema

ktk ndoa yangu,bahati nzuri mimi na mke wangu ni marafiki wakubwa...she is my best friend,ninashea naye mambo mengi sana so huwa yeye anakuwa wa kwanza kujua nina tatizo gani kabla ya mimi mwenyewe kujua nina tatizo hilo!!!!!(sounds strange?)...hivyo matatizo yetu tunatatua wenyewe pamoja kwa umoja.
 
Kama wote wanafanya same bank huwezi sema huyo mwanamke kaficha balance alonayo...mmewe ana uwezo wa kujua hiyo balance muda wowote akitaka. Na mke angekuwa na nia mbaya basi asingekuwa anaweka ela kwenye hiyo account ambayo mume wake ana access nayo.

Huyo alitaka ela kwa shughuli ambayo hataki mkewe ajue.
 
Hivi kama mwanamke anamzidi mume mshahara labda kama mara 4
Familia itaishi maisha ya aina gani?
Maisha ya kiwango cha mshahara wa mme au maisha ya kiwango cha mshahara wa mke?

Hapa itasaidia kukadiria/kuona uwezekani wa mme kukopa mke kwa mwezi ukoje

Hapo ndo kwenye kiini cha hoja.

Hivi mwanamme akiwa ametokewa na dharura keshamkopa mkewe mara tatu kwenye mwezi huo huo mmoja, mara ya nne akiona bora akope nje (kwa tunavyowajua wanaume wengi walivyo), tutashangaa kweli?
 
Labda kama mawasialiano ya ndoa yamekwama mahali

Mwanamme akifulia unamjua tu kama mnasihi nyumba moja
Kuna saa hata huhangaiki kutoa shida ndogo ndogo unazimaliza mwenyewe

Hii ya mke ana mamilioni na mme anakopa laki moja?

Mie nalazimika kuona kuna walakini kati yao

kongosho,kwanza asante kwa ma-like kibao uliyonigongea!

well,nifafanue...kuficha au kudanganya ni pale unapoulizwa unakana,au unatamka mwenyewe kinyume na hali halisi,kama mke wangu katengeneza pesa ikaweka ktk acc yake na hajaniambia HAPO HAJAFICHA WALA HAJANIDANGANYA mpaka pale nikimuuliza aseme hana wakati anayo!

kwa case ya thread hii hatujui kama wanafichana au wameambiana,tungejua either of the two tungeweza ku-judge vema

ktk ndoa yangu,bahati nzuri mimi na mke wangu ni marafiki wakubwa...she is my best friend,ninashea naye mambo mengi sana so huwa yeye anakuwa wa kwanza kujua nina tatizo gani kabla ya mimi mwenyewe kujua nina tatizo hilo!!!!!(sounds strange?)...hivyo matatizo yetu tunatatua wenyewe pamoja kwa umoja.
 
Hivi kama mwanamke anamzidi mume mshahara labda kama mara 4
Familia itaishi maisha ya aina gani?
Maisha ya kiwango cha mshahara wa mme au maisha ya kiwango cha mshahara wa mke?

Hapa itasaidia kukadiria/kuona uwezekani wa mme kukopa mke kwa mwezi ukoje

Kama familia nadhani ni rahisi kuishi kwa kiwango cha mshahara wa mume mara mbili (yaani wakichangia sawa kwa sawa)

Luxuries nyingine zitatoka kwenye mshahara wa mke
 
kwa hii thread wanaume wengi kwenye ndoa huwa nawaona maboya tu ...mungu nisamehe huyu ni wa tano nasikia hii issue
Ha ha ha leo naona umerudi na ID yako....Back to the topic,,,,, inauma ingawa mambo kama hayo yapo, nimeshakutana na watu wa aina hii
 
Hivi kama mwanamke anamzidi mume mshahara labda kama mara 4
Familia itaishi maisha ya aina gani?
Maisha ya kiwango cha mshahara wa mme au maisha ya kiwango cha mshahara wa mke?

Hapa itasaidia kukadiria/kuona uwezekani wa mme kukopa mke kwa mwezi ukoje

Kutakuwa na familia mbili ndani ya paa moja......moja ya mume na nyingine ya mke
 
I stand to be corrected ndugu Mkirua,

Ila kwa wanandoa kutoelezana vizuri au kufichana taarifa za kifedha ni jambo la hatari!!

Babu DC!!

Dark City Kimsingi Nakubaliana na wewe Mkuu na yapo mambo ya msingi (majukumu) ambayo tunakubaliana kutekeleza...ada ujenzi, kodi chakula nk....sasa hata vile visenti vichache ninavyookota bara barani (assume mie traffic police)!!! ah! anyway ushauri wako unazingatiwa kwani ukubwa dawa!
 
mie nimeolewa kwa zaidi ya miaka 10. mwanzoni nilikuwa mkweli sana kuhusu financial zangu kwa mume wangu..yani kila ninachokipata namwambia halafu tunajadili cha kufanyia..niliamini na mwenzangu yuko hivyo, lkn baadae nikaja kugundua kuwa haniambii ukweli kuhusu kipato chake(baada ya kugundua asset zake ambazo alinificha) na mambo kadhaa ambayo aliyafanya bila kunishirikisha..tuliongea ili tuyamalize na kila mmoja wetu asimfiche mwenzie, aliomba msamaha na akaahidi kujirekebisha lkn hajajirekebisha..kila mara nimekuwa nikigundua/nikiambiwa mambo anayofanya kimya kimya.. nikimuuliza amekuwa akitahayari tu hana la kusema..nikasema hakuna haja ya kugombana kwa sbb ya kipato cha mtu, nami si ninacho cha kwangu?...nami nikawa naficha kipato changu, simwambii na wala hajui nina shilingi ngapi..nimefungua account bank nyingine naweka huko akiba na wala hajui(ile bank anayojua anayo na password na yuko free akitaka hela nampa kadi).. nimejenga nyumba 1, hajui na sasa nategemea kujenga nyingine(sitegemei kumwambia vile vile).. matumizi ya nyumbani nachangia km kawaida tena mara kibao namkopesha kwani mwenzangu hajui bajeti mara kwa mara anaishiwa hata ya mafuta(anaamua kupanda daladala)..
kwa hivo tatizo ni nyie wanaume sio wakweli..wanawake ni wakweli pale mnapowashirikisha na wanajua bajeti..ni mara chache sn utakuta mwanamke kaishiwa hadi nauli
 
Ndio maana nikasema unaweza usiolewe kwa kuwa unangoja walio loaded; wakati hawana mpango na wewe. Lol. Nilishawahi fanya kazi benki pia...ndio maana nazijua abc....

kuna mdada anafanya benki kaangukia kwenye penzi la mwanaume ambae alfiwa na mkewe kaingia ndani kakuta mtoto mkubwa kapishana nae 5yr.huyu mwanaume kampita zaid ya 20yr sema jamaa mkwanja upo alionga vx
 
kwa hii thread wanaume wengi kwenye ndoa huwa nawaona maboya tu ...mungu nisamehe huyu ni wa tano nasikia hii issue

SIPO KATIKA NDOA LAKINI HAPO KWENYE RED SIJAIPENDA KAULI YAKO, UKITOA KAULI KAMA HII NA MADA YENYEWE NDIYO HII, INANIPA HASIRA****************bHASSSSSSSSS
 
Back
Top Bottom