Ndoa inapangwa na mwanamke sio mwanaume

Ndoa inapangwa na mwanamke sio mwanaume

Askarimaji

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2016
Posts
275
Reaction score
689
NDOA INAPANGWA NA MWANAMKE SIO MWANAUME


Kauli hii inaweza kukushangaza kidogo ila ngoja nikufafanulie,

Mwanamke ndiye anaepanga ndoa na sio mwanaume, hii inamaana gani!!!

Maana yake ni kwamba wewe mwanamke kwa tabia yako njema, uvumilivu wako, huruma yako, heshima yako, utiifu wako kwa mwanaume unaempenda na unatamani awe mumeo siku moja basi elewa uyu mwanaume lazima akuoe endapo utamuonyesha vitu hivi vichache,

Mwanamke hautakiwi kumwambia mwanaume nioe, unatakiwa kumuonyesha huruma, upendo, utiiifu, heshima na uvumilivu, vitu hivi vichache vitamfanya afikilie kukuoa na mwishowe atakuoa tu.

Hivyo basi ndoa anapanga mwanamke na si mwanaume, mwanaume anaweza akamuoa mwanamke ambae hakumtarajia na hakumfikilia ila amemuoa ghafla tu baada ya kuonyeshwa huruma, upendo, utiifu, heshima na uvumilivu.
 
NDOA INAPANGWA NA MWANAMKE SIO MWANAUME


Kauli hii inaweza kukushangaza kidogo ila ngoja nikufafanulie,

Mwanamke ndiye anaepanga ndoa na sio mwanaume, hii inamaana gani!!!

Maana yake ni kwamba wewe mwanamke kwa tabia yako njema, uvumilivu wako, huruma yako, heshima yako, utiifu wako kwa mwanaume unaempenda na unatamani awe mumeo siku moja basi elewa uyu mwanaume lazima akuoe endapo utamuonyesha vitu hivi vichache,

Mwanamke hautakiwi kumwambia mwanaume nioe, unatakiwa kumuonyesha huruma, upendo, utiiifu, heshima na uvumilivu, vitu hivi vichache vitamfanya afikilie kukuoa na mwishowe atakuoa tu.

Hivyo basi ndoa anapanga mwanamke na si mwanaume, mwanaume anaweza akamuoa mwanamke ambae hakumtarajia na hakumfikilia ila amemuoa ghafla tu baada ya kuonyeshwa huruma, upendo, utiifu, heshima na uvumilivu.
Ndoa kidini inapangwa na Mungu
 
NDOA INAPANGWA NA MWANAMKE SIO MWANAUME


Kauli hii inaweza kukushangaza kidogo ila ngoja nikufafanulie,

Mwanamke ndiye anaepanga ndoa na sio mwanaume, hii inamaana gani!!!

Maana yake ni kwamba wewe mwanamke kwa tabia yako njema, uvumilivu wako, huruma yako, heshima yako, utiifu wako kwa mwanaume unaempenda na unatamani awe mumeo siku moja basi elewa uyu mwanaume lazima akuoe endapo utamuonyesha vitu hivi vichache,

Mwanamke hautakiwi kumwambia mwanaume nioe, unatakiwa kumuonyesha huruma, upendo, utiiifu, heshima na uvumilivu, vitu hivi vichache vitamfanya afikilie kukuoa na mwishowe atakuoa tu.

Hivyo basi ndoa anapanga mwanamke na si mwanaume, mwanaume anaweza akamuoa mwanamke ambae hakumtarajia na hakumfikilia ila amemuoa ghafla tu baada ya kuonyeshwa huruma, upendo, utiifu, heshima na uvumilivu.


Tunaishi kwenye dunia iliyojaa unafiki sana..... unaweza kuigiziwa hivyo vitu kama huruma, wema, unyenyekevu kwasababu watu wanakuwa na manufaa na vya kwako sio na wewe
 
Nazani hili ni jibu Kwa sisi vijana tunaotaka kuingia kweny ndoa
 
Back
Top Bottom