magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,449
- 13,190
We jamaa una ukili.Uko sahihi wanataka kufanya watoto kuwa kitega uchumi cha yeye na wazazi wake!
Wewe muulize kwa meseji mzee unachotaka nifanye ni nini?
Akisema anamtaka mwanae muulize je na hawa watoto wadogo unawafikiriaje?
Akikujibu vyovyote tunza meseji.
Halafu waache waende zao using’ang’anie