mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 697
- 940
Wasalaam ndugu zangu.
Niende Moja kwa mojakwenye mada
Ikiwa wazazi wameachana na watoto wakawa wanaishi na mama kwa kuwa baba ameoa mke mwingine,je ni sahihi mama wa watoto kukatazwa kujua watoto wake wanapokwenda wakati wa likizo? ( Kwa baba Yao anayeishi na mama wa kambo)
Na je endapo watoto watapata tatizo huko kwa baba Yao je,mama huyu atapataje taarifa hata za kwenda wakati hapajui?
Wanasheria naomba mnisaidie hili
Asante .
Niende Moja kwa mojakwenye mada
Ikiwa wazazi wameachana na watoto wakawa wanaishi na mama kwa kuwa baba ameoa mke mwingine,je ni sahihi mama wa watoto kukatazwa kujua watoto wake wanapokwenda wakati wa likizo? ( Kwa baba Yao anayeishi na mama wa kambo)
Na je endapo watoto watapata tatizo huko kwa baba Yao je,mama huyu atapataje taarifa hata za kwenda wakati hapajui?
Wanasheria naomba mnisaidie hili
Asante .