mnangagwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 978
- 1,424
Kuna jambo naomba msaada wenu wa kisheria. Nilioa mwaka2008 ndoa ya kiislam, mwaka 2019 mke wangu aliondoka nyumbani na kuniachia watoto wa4 baada ya kutoa mimba ya hawara, kutishia kuniua na kutishia kuwawekea watoto sumu.
Baadae akaanza harakati za kunishtaki polisi, Ustawi wa jamii, Bakwata na karejea Tena Ustawi wa jamii manispaa ilala akiwa na malalamiko yafuatayo:
a) Anahitaji nimkabidhi watoto wote niliozaa nae na hatonidai huduma yoyote,hili nililikubali Ila tu Kama litaandikwa kisheria, alivyoona nimeng'ang'aniwa makabidhiano ya watoto yawe kisheria akaingia mitini.
b) Anahitaji watoto walioko shule std vii Musoma niwarejeshe DSM kwa kuwa nimewahamisha bila ridhaa yake
Mwisho wa siku hatukufikia muafaka suala ikabidi liende mahakamani kitengo cha watoto, kuja kushtuka suala halijapelekwa mahakamani Ila limeletwa kazini kwangu likiwa na madai mapya ya kuwatendea ukatili watoto kwa kuwapiga nikishirikiana na mke wangu wakati hata Serikali ya Mtaa hili Jambo halijaripotiwa kwao au kuripotiwa polisi, nifanyeje ili niwashtaki Hawa maafisa Ustawi jamii kwa kunipachika tuhuma ambazo sio za kweli?
Baadae akaanza harakati za kunishtaki polisi, Ustawi wa jamii, Bakwata na karejea Tena Ustawi wa jamii manispaa ilala akiwa na malalamiko yafuatayo:
a) Anahitaji nimkabidhi watoto wote niliozaa nae na hatonidai huduma yoyote,hili nililikubali Ila tu Kama litaandikwa kisheria, alivyoona nimeng'ang'aniwa makabidhiano ya watoto yawe kisheria akaingia mitini.
b) Anahitaji watoto walioko shule std vii Musoma niwarejeshe DSM kwa kuwa nimewahamisha bila ridhaa yake
Mwisho wa siku hatukufikia muafaka suala ikabidi liende mahakamani kitengo cha watoto, kuja kushtuka suala halijapelekwa mahakamani Ila limeletwa kazini kwangu likiwa na madai mapya ya kuwatendea ukatili watoto kwa kuwapiga nikishirikiana na mke wangu wakati hata Serikali ya Mtaa hili Jambo halijaripotiwa kwao au kuripotiwa polisi, nifanyeje ili niwashtaki Hawa maafisa Ustawi jamii kwa kunipachika tuhuma ambazo sio za kweli?