Mkuu ujue tatizo hilo ni serious acha utani, hii kitu ikitokeaga kwangu aisee huwa napata mtihani mzito sana, tena ukute nyumbani kuna mgeni wa muhimu kama vile mama hivi kawatembelea, aisee... nyumbani hapakaliki, ofisini utendaji wako unazorota... unaweza ukazianza bia asubuhi usipokuwa makini!Kama ye bubu we kuwa kiziwi.......
mwanamke yeyote akichelewa kupata mtoto huwa ananuna hivyohivyo, na anavyozidi kuwa na stress ndivyo anavyovuruga mwili wake na anatakavyozidi kuchelewa kupata mtoto. unatakiwa umfariji, kuna siku akipata mtoto atakuja kuwa mtu wa furaha sana. subiri tu.
Huyo mkeo dawa yake sio kumuacha bali ushauri
Kwanza jitahidi kuwa rafiki yake na kama suala hilo la kutokupata mtoto unaliongelea sana punguza na ikiwezekana acha kabisa kuliongelea na jitahidi kuwa karibu yake kisha nendeni kwenye kituo cha afya mkapime ili mjue tatizo liko wapi na mkijua mlifanyie kazi
Kama mkikuta hakuna mwenye tatizo jitahidi sana kutokulizungumzia hilo katika hali hasi,mpeleke kwa wataalam wa ushauri na atakuwa bomba tu
Malezi yametuharibu sana kuhusiana na suala zima la kuzaa na kupata mtoto
Mtu akiwa hana uwezo huo huonekana kama amepungua ubinadamu wake kwa 70% hivi
Ujinga huu sijui utaisha lini
Katika mambo ambayo hayaniumizi akili ni hili!
ni kama vita vile hakuna hata hamu ya hayo mengine
Ushauri umefanyika sana na hata kupima tumepima wote zaidi ya mara 3 daktari alisema hatuna shida. sina muda na wala sijawahi kulizungumzia hili suala katika negative side zaidi ya kumtia moyo tu kuwa ipo siku mungu atattenda. nimejaribu sana kuwa rafiki yake lakini wapi
Pole sana mtumishi wa mungu
ingawa umesema kinachomnunisha si mtoto kwa ulimwengu wa roho napenda kumuunga mmoja wa hoja hapo juu mtooto ndio tatizo..na kinachoonekana wewe ni src ya kuzungumzia mtoto ..ingawa si dk ali mtoto ni baraka za bwana ....ndoa ni muhimu na mtoto ni majaliwa ushauri basi
najua miaka minne ni mingi na inawezekana anachonuna anhisi unatafuta mtoto nje ..jitahdisana uwe nae karibu ..kuna waliokataa tamaa na watotot na mungu ni shahidi yangu na mi ni mmoja wao ingawa ilichukua mwaka mmoja na nusu ila kama bnadamu mungu mmoja mwamini mungu .....
1..kama mmedhamiria mweleze ukweli halisi mkeo kwamba wakati wa kujaribu kwenda kwa ma dk..ni frha yangu kuona dk3s wa jf wakitoa sehemu mbli mbali za kwenda mnachofanya mnapima wote wawili wala usiogope...mi ninajua sehemu moja pale mbuyuni ukielekea posta ...kulia kuna hosp ya wazazi..ni baba mzuri ssana ni garama kidogo lakini mungu anakwenda kuwafungua..na moja ya mahitaji yake ni wote wawili kwenda so mnaitajika ukubali wenu wawili....
2.kununa kwenye ndoa chaa kawaida ..wala usiiogope ukuzaliwa nae kusema mmetunza pamoja ..kama uamini angalia ndugu zako wa damu mnaowashiaana moto mpaka sasa sembuse huyo
3..shekeli
hili ni kitengo kingine muhimu kinachosumbua ndoa ..mnaitajika uwazi wa shekeli zenu ..aisewezkani
mmoja ananunua gari kwa mkopo siku ya kulipa unashangaa majembe wanakuja wakikuta na la mwenzio wanachukua unaishia kulipa deni la mwenzio usilolijua..hii si vyema
kuwa kama mimi baba na mama tunaweka mezani
tunapanga maihitaji ya mwezi mzima ,,inabaki kadhaa tunatoa kiasi hiki ni kwa ajili ya benki zetu za madafu...mungu akikupa watoto ni muhimu pia mnawaweke benki hata laki moja ama mbili kwa mwezi kadri utakavyoongozwa
4..kununa kuna mambo mengi
unajua unapomwibia mungu si lazima akufukuzishe kazi no anaweza kutibua nyumbani mpaka ukawa na akili timamu..sasa basi pengine zaka hutoi kabisa sadaka ni majawaliwa sasa kuna sehemu za kukurudisha kwenye mistari kama hizi so kuwa makini na kutomwibia mungu
ngoja nikale kwanza nitakuja na muendelezo wa kwa nini kuna kunununa kwenye ndoa
Akinuna na vingine vinanuna au unapewa?
ukikua utakuja kuelewa. kununa lazima kuna sababu. mtu ukiwa na kidonda moyoni (mfano cha kutopata mtoto) ukitoneshwa hata na kijiko tu unaweza kununa utafikiri umepigwa ngumi. hata hivyo nafuta kauli kwamba ananuna kwasababu hana mtoto. ninachosema sasa, yeye atafute chanzo mkewe kwanini ananuna. ila kwa uzoefu, akija kupata mtoto yeye atakwambia ni nini kilikuwa kinamsumbua. thanks.sidhani kama umeelewa nilichoandika nimesema matatizo ya kununa hayatokei sababu hana mtoto. Tuwe na imani na maneno ya watu ndiyo maana tunashindwa kutoa ushauri mzuri katika jamii kwa kujifanya tunamacho ya chuma, kama mtu anayehitaji ushauri kakwambia hilo siyo tatizo nawewe umekomaa na kusema hilo nitatizo utamshauri nini?
Mkuu hata ukipewa unadhani itanoga basi kama mtu mwenyewe kanuna?
Huyo mkeo dawa yake sio kumuacha bali ushauri
Kwanza jitahidi kuwa rafiki yake na kama suala hilo la kutokupata mtoto unaliongelea sana punguza na ikiwezekana acha kabisa kuliongelea na jitahidi kuwa karibu yake kisha nendeni kwenye kituo cha afya mkapime ili mjue tatizo liko wapi na mkijua mlifanyie kazi
Kama mkikuta hakuna mwenye tatizo jitahidi sana kutokulizungumzia hilo katika hali hasi,mpeleke kwa wataalam wa ushauri na atakuwa bomba tu
Malezi yametuharibu sana kuhusiana na suala zima la kuzaa na kupata mtoto
Mtu akiwa hana uwezo huo huonekana kama amepungua ubinadamu wake kwa 70% hivi
Ujinga huu sijui utaisha lini
Katika mambo ambayo hayaniumizi akili ni hili!
Mie nkinuna nakupa vizuri sana
Mpe hongera zake bwa-shemi! Hata akinuna ila lazima agegede? Hapo lazima hasira zimuishie!Mie nkinuna nakupa vizuri sana
Ushauri umefanyika sana na hata kupima tumepima wote zaidi ya mara 3 daktari alisema hatuna shida. sina muda na wala sijawahi kulizungumzia hili suala katika negative side zaidi ya kumtia moyo tu kuwa ipo siku mungu atattenda. nimejaribu sana kuwa rafiki yake lakini wapi
ukikua utakuja kuelewa. kununa lazima kuna sababu. mtu ukiwa na kidonda moyoni (mfano cha kutopata mtoto) ukitoneshwa hata na kijiko tu unaweza kununa utafikiri umepigwa ngumi. hata hivyo nafuta kauli kwamba ananuna kwasababu hana mtoto. ninachosema sasa, yeye atafute chanzo mkewe kwanini ananuna. ila kwa uzoefu, akija kupata mtoto yeye atakwambia ni nini kilikuwa kinamsumbua. thanks.
Anahitaji maombi alafu hata kupata mimba mwili nao unatakiwa usiwe na stress sasa iyo kununanuna inaweeza kuwa sababu ya yeye kutokupata mimba mwaribu kwa kumwabia hiyo ndo sababu ya yeye kutokushika mimba...... ikishindikana aisee me navyochukia hiyo tabia angekuwa ananiona mda wa kulala tu aise
ni kama vita vile hakuna hata hamu ya hayo mengine
hapo mstari wa mwisho
anaheri huyo mkeo
ni kama vita vile hakuna hata hamu ya hayo mengine