Ndoa inaelekea kunishinda

Ndoa inaelekea kunishinda

What they say:
Marriage is

What they don't say:
Before marriage
During wedding
Few months after marriage
One year after marriage
Two years later
Five years
What they say:
Marriage is

What they don't say:
Before marriage
During wedding
Few months after marriage
One year after marriage
Two years later
Five years
 
Simu simu simu!

Wewe huna simu ya siri? Mumeo ana rukhsa ya kushika simu yako?

Siku hizi kwanza mnafunga ndoa za nini?

Unakuta wanandoa eti ni marufuku kila mmoja kushika simu ya mwenzake.

A dead giveaway.

Vumilianeni tu sasa. Ndoa mliitaka wenyewe…

Mkishindwa kuvumiliana, achaneni.

Kuachana siyo mwisho wa dunia.

Na hata ingekuwa mwisho wa dunia, ni bora tu kuachana kuliko kuendelea kudanganyana kama mko mataahira.


Eti Wana funga ndoa halafu kila mtu haruhusu simu yake kushikwa na mwenzake , Sasa Nini maana ya ndoa!? daahh inafikirisha Sana
 
Kama ni movie ndio kwanza ipo kwenye ....
”Starring”....“Executive Producers”...”Title”... usijaribu kuvunja ambacho mungu amekiunganisha mkuu!

Nachokiona wewe umeolewa ila ni mgeni kwenye michezo ya mapenzi. Nikutoe hofu tu kuwa wanaume 80% huwa wana cheat ila kwa adabu sana! 20% ndio ambao hawana adabu kwenye cheating wao hawana aibu kuonesha kuwa wana cheat na hawa ndio wabaya sana.

Ukivunja ndoa sababu mume ameku cheat jua uendako pia utachitiwa tu na utakuwa dissapoonted mara mbili! Jifunze kuishi na hio hali kuwa mumeo sio muaminifu na maumivu yakizidi na wewe tafta mtu akugongege kwa siri ili akufariji.

Hio ndio namna ya kupunguza machungu ila usiache kumuheshimu mumeo hata ukishaanza kuliwa maana ukiteleza hapo tu utapewa talaka kwa aibu na fedhea. Liwa nje ila usianze dharau na kejeli utakamatwa.
Jf inafundisha umalaya
 
Mmh wewe ndio kivuruge. Mwisho wa siku wenzio wakianza kupata magonjwa nyemelezi kinga zipo chini wewe uko zako pembeni unawacheka. Kucheat ndan ya ndoa ya miezi 6 haimpi credibility mwanaume aliye serious na ndoa, NEVER.

Kwanini uoe na huwezi tulia na mwanamke mmoja. Kuna bahat mbaya sawa lakini ndoa bado changa una wanawake watatu nje tayari
Imagine
 
Bora Shetani unaemjua kuliko Malaika usiemfahamu...!!

Hakuna mwanaume asieachat ila wapo wachache ambao wanashindwa kuheshimu ndoa zao na kufanya waziwazi kama wako Anafanya kwa siri bhasi Hongera na jitahdi usiwe mfukunyuku maana utaumia tu dada angu.

Tulia na uja uzito wako mwanao akizaliwa mlelee bhasi huyo mwanaume pima nae Ngoma kama hana msamehe muanze upyaaa sababu Ukisema umuache ni sawa na kulikimbia jua songea ukaenda Dar.
 
Bora Shetani unaemjua kuliko Malaika usiemfahamu...!!

Hakuna mwanaume asieachat ila wapo wachache ambao wanashindwa kuheshimu ndoa zao na kufanya waziwazi kama wako Anafanya kwa siri bhasi Hongera na jitahdi usiwe mfukunyuku maana utaumia tu dada angu.

Tulia na uja uzito wako mwanao akizaliwa mlelee bhasi huyo mwanaume pima nae Ngoma kama hana msamehe muanze upyaaa sababu Ukisema umuache ni sawa na kulikimbia jua songea ukaenda Dar.
Acha kudanganya na jisemee wee km wee, wapo wanaume wasio cheat, wametulia na ndoa zao, sema wengi wao ila sio wote au sio kila mwanaume. Khaaaaah
 
Acha kudanganya na jisemee wee km wee, wapo wanaume wasio cheat, wametulia na ndoa zao, sema wengi wao ila sio wote au sio kila mwanaume. Khaaaaah
Wewe sema usemavyo ila huo ndio Ukweli mchungu kumeza... Toka Enzi za adam na hawa mwanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja kawaida sana!!
 
Kama ni movie ndio kwanza ipo kwenye ....
”Starring”....“Executive Producers”...”Title”... usijaribu kuvunja ambacho mungu amekiunganisha mkuu!

Nachokiona wewe umeolewa ila ni mgeni kwenye michezo ya mapenzi. Nikutoe hofu tu kuwa wanaume 80% huwa wana cheat ila kwa adabu sana! 20% ndio ambao hawana adabu kwenye cheating wao hawana aibu kuonesha kuwa wana cheat na hawa ndio wabaya sana.

Ukivunja ndoa sababu mume ameku cheat jua uendako pia utachitiwa tu na utakuwa dissapoonted mara mbili! Jifunze kuishi na hio hali kuwa mumeo sio muaminifu na maumivu yakizidi na wewe tafta mtu akugongege kwa siri ili akufariji.

Hio ndio namna ya kupunguza machungu ila usiache kumuheshimu mumeo hata ukishaanza kuliwa maana ukiteleza hapo tu utapewa talaka kwa aibu na fedhea. Liwa nje ila usianze dharau na kejeli utakamatwa.
Kuna mwanamke anaye cheat bila kumdharau mumewe ?
 
Hebu weka picha tuone kwanza anastahili kuchepuka au hastahili tusije kuanza kumsema mtu bure tukapata dhambi.
Ni huyo hapo.Ni bilionea wa Russia anamiliki PJ Estates kadhaa,Bank na makampuni makubwa sehemu mbalimbali duniani
images%20-%202022-02-21T131249.601.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom