Kwa kweli bila kavu kavu inakuwa siyo ndoa jamani, ina maana watabakia na mtoto mmoja tu endapo dada atabarikiwa kujifungua!
Ushauri wenu jamani,
Mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu.
Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi.
Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Read hii quotation..if u really want peace of mind make decisions..hata ukiachana nae utajifungua tu salama na maisha mapya utaanza wew na mwanao..usitazame watu watakusema vipi kwamba umeachika bali ishi maisha yako upendavyo wewe bila kujali society itaongea nini angali wao hawajui maumiv unayopitia..kama unakazi andoka haraka sana kama bado unamtegemea huyo mwanaume basi mpige tukio..nkimaansha mlaghai upate mtaji then uondoke ukayaanze maisha sehem nyingne... happiness start with you..Pole kwa yote but be a strong woman for ur unborn childView attachment 2103516
am more than serious, hebu nionesheni huyo mwanaume asiechepuka nami nimkimbilie sahivi kabla jua halijazama, dear you do me I do you...😃 maisha yanasongaShoga umetania au?
Mana hayo maumivu yake ungejua usingesema hivyo.
Kwani nn lengo la kuolewa hiyo vunga ni for better for worse, kwa shida na raha, maradhi mapepo kila kitu uliapa Bibiee pole Ila komaa huo ndo mzigo wako mambo yampito sasa we sikiliza makanyaboya kama ndo walikuwa ma ww wakati wa kifo cha cokroach pambanaaa ohooo kuleni hata mawe pambana akili ya mwanamke na nia njema na kusudi ndipo hujulikana kwani ulidhani unaenda likizo?! Hapanaa hapanaa pambanaUshauri wenu jamani,
Mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu.
Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi.
Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Aisee huu uzi wake inaonesha dada alikua desperate DESPERATE na ndoa kiasi kwamba alikua anataka hata abebe mimba ya kufosi ndoa kisa aliona mwanaume anaweza kubadilika last stage. Kama ambavyo hakuelewa ushauri aliopewa kule hata huku hatoelewa ni yeye mwenyewe afanye maamuzi tu.Ulipata signs mapema ila ulitaka ndoa
Pole
Uzi wako huu 2021
Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga
Habari zenu wapendwa? Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba...www.jamiiforums.com
Naunga mkonyo hoja, nikipata ushahidi ananicheat, natafuta Kwa kupunguza maumivu Tu....Ila simuachi, siachiki.am more than serious, hebu nionesheni huyo mwanaume asiechepuka nami nimkimbilie sahivi kabla jua halijazama, dear you do me I do you...😃 maisha yanasonga
Pathetic generationNaunga mkonyo hoja, nikipata ushahidi ananicheat, natafuta Kwa kupunguza maumivu Tu....Ila simuachi, siachiki.
Usaliti ni Kama mvua Tu kila sehemu ipo inanyesha.
hapo chacha kwamba unamuacha mtu kisa kucheat??? aaah utani huo....labda hiyo cheating iambatane na mambo mengine kama vipigo, na matabia mengine mabaya ila cheating plain??? ooohhh tutazikana siachi mtoto wa mtuNaunga mkonyo hoja, nikipata ushahidi ananicheat, natafuta Kwa kupunguza maumivu Tu....Ila simuachi, siachiki.
Usaliti ni Kama mvua Tu kila sehemu ipo inanyesha.
Labda acheat afu asinipe helahapo chacha kwamba unamuacha mtu kisa kucheat??? aaah utani huo....labda hiyo cheating iambatane na mambo mengine kama vipigo, na matabia mengine mabaya ila cheating plain??? ooohhh tutazikana siachi mtoto wa mtu
Nakuona Nakuona ktk Ubora wako Mkongwe..Kama ni movie ndio kwanza ipo kwenye ....
”Starring”....“Executive Producers”...”Title”... usijaribu kuvunja ambacho mungu amekiunganisha mkuu!
Nachokiona wewe umeolewa ila ni mgeni kwenye michezo ya mapenzi. Nikutoe hofu tu kuwa wanaume 80% huwa wana cheat ila kwa adabu sana! 20% ndio ambao hawana adabu kwenye cheating wao hawana aibu kuonesha kuwa wana cheat na hawa ndio wabaya sana.
Ukivunja ndoa sababu mume ameku cheat jua uendako pia utachitiwa tu na utakuwa dissapoonted mara mbili! Jifunze kuishi na hio hali kuwa mumeo sio muaminifu na maumivu yakizidi na wewe tafta mtu akugongege kwa siri ili akufariji.
Hio ndio namna ya kupunguza machungu ila usiache kumuheshimu mumeo hata ukishaanza kuliwa maana ukiteleza hapo tu utapewa talaka kwa aibu na fedhea. Liwa nje ila usianze dharau na kejeli utakamatwa.
Ushauri wa bure kwa amateurNakuona Nakuona ktk Ubora wako Mkongwe..
Wananitesa sana Mods ila kuna wahuni ni kero kila nikiona post zao lazma nile bansiku zote huwa una like leo umetoa point wakakuban jamani
Sasa akishindwa kuvumilia afanyeje mkuu😅😅😅 we unadhani wake za watu wanaoliwa maofisini na junior officers wanapenda kuliwa?Usichukue ushauri wa huyu mwamba utavunja ndoa yako mapema sana.
Usichepuk, usiwaze kuchepuka wala usijaribu kuchepuka hata kidogo. Utaua ndoa yako mapema sana na inaonekana wewe si mzoefu wa hizo mambo utadakwa na mara nyingi wanaume uvumilivu ni F utaachwa siku hiyo hiyo.
Welcome back cha utunduWananitesa sana Mods ila kuna wahuni ni kero kila nikiona post zao lazma nile ban
Eeh iwe kimya kimya tu😅 maana hamna namna ingine. Sema kwa kipindi cha ujauzito hio hali ni kawaida bana hata mie ntachepuka tu sababu huduma itakuwa sipati😅Kumbe mnajua mkizingua huwa tunazingua pia kimya kimya
Im baackkk 😜Welcome back cha utundu