hayo mbona ya kawaida tu, yani mi naona kawaida kabisaau nimelogwa???
Kwa umri mlio nao hizo kondomu mtatumia hadi mwaka gani? Halafu utamu utapungua sanaaa!
Akiondoka ataenda wapi ambapo mume hachepuki? Wanaume huwa wanatulia tu Ila at some point katika ndoa lazima atoke tu! Sio wote Ila wengi ..Sasa huyo jamani ni uchepukaji au ujinga, kama umeshakaa miaka naye kadhaa utakomaa, embu umeolewa na miaka yako 22-25 miezi 6 michepuko 3 umekomaa kweli hapo, ila simshauri aondoke ila kwa mwanaume afanyacho sio kabisa
kaahh!
Shoga umetania au?Kuchepuka tu ndio umuache???? serious?? come on sweetheart labda kama ana mabaya yake bana hilo linaongeleka mbona
KWani baada ya kuchepuka kapungua nini?wewe tulia lea mimba yako..hakuna mtu hachepuki duniani!Ushauri wenu jamani,
Mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu.
Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi.
Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Pole Sana dear....usifadhaike Sana. Pengine kutokana na hali yako ya ujauzito ndio maana akatafuta pa kupumzikia. Ni mambo ya mpito.Na Mimi nawaza kitu Kama hicho niwe tu bize na maisha yangu na mwanangu aliye tumboni nafikiria kwanzia Leo nisishike simu yake Wala nisimfatilie akiamua kuchepuka achepuke. Maana nshaona nikijua naumia alafu ameshanikatisha tamaa coz ndokwanza tuna miezi 6 kwenye ndoa alafu namfuma na wanawake 3
Bora hata angekuwa mmoja ningesema labda kwakuwa na mimba ameona anitafutie msaidizi nafikiria hata siku akitaka nishiriki nae niwe tu Mimi natumia nae condom maisha yote kujiepusha na maradhi maana nimewasiliana na wadada wawili kati ya hao wanasema walikuwa hawatumii condom.
Mmoja ndo anasubiri kazi ya upolisi hivyo alimforce wakapime ukimwi kuhofia asijepata maambukizi akakosa kazi, yani hata hajali afya yangu na mtoto wake mpaka Kuna wakati inanijia roho ya kishetani nawaza sijui nimchomee hata ndani.
Jamani naumia Basi tu mpaka naona tena Kama huu ujauzito nlobeba ni mzigo kwangu maana mimba tu nayo inanitesa naumwa badala ya yeye kuwa faraja kwangu ndio kawa moto ananichoma
Mume wako ila unabaki kusubiri siku akipatwa na maradhi, amefulia au amefariki; ndiyo mke wa ndoa unakumbukwa sasa. Siku hizi wanaume wanahamia kwa michepuko mazima; unaachwa ndani na pete yako na vyeti vya ndoa.
Uko sahihiWewe Mama na kushauri, kutulia tu huo ni mwanzo, na hilo sio kosa kubwa katika ndoa za siku hizi, popote utakapo enda utayakuta hayo, usaliti umekua officialised na watznia wengi,......kama huduma zingine anatoa tulia tu.
Huyu mara nyingi atakuepo ni makanixa ya kilokole ambao akili zao wanashikiwa na wachungajiWanawake hapo ndo mnapofeli, et unataman umshirikshe mchungaji wenu??? Huna wazaz, ndugu na jamaa?? Kuwa makin na hao wachungaj watakuomba buree!! Nao binadamu
😂 japo sio mazuriWanaume na michepuko kama chura na maji.
Mmoja ndo anasubiri kazi ya upolisi hivyo alimforce wakapime ukimwi kuhofia asijepata maambukizi akakosa kazi, yani hata hajali afya yangu na mtoto wake mpaka Kuna wakati inanijia roho ya kishetani nawaza sijui nimchomee hata ndani.
We fala sanaHebu weka picha tuone kwanza anastahili kuchepuka au hastahili tusije kuanza kumsema mtu bure tukapata dhambi.
Nadhani haya yalikua makoloni yake hata kabla ya ndoa. Labda tumwambie bibie ampe mda atawaacha.Mmh wewe ndio kivuruge. Mwisho wa siku wenzio wakianza kupata magonjwa nyemelezi kinga zipo chini wewe uko zako pembeni unawacheka. Kucheat ndan ya ndoa ya miezi 6 haimpi credibility mwanaume aliye serious na ndoa, NEVER.
Kwanini uoe na huwezi tulia na mwanamke mmoja. Kuna bahat mbaya sawa lakini ndoa bado changa una wanawake watatu nje tayari
Kuchepuka tu ndio umuache???? serious?? come on sweetheart labda kama ana mabaya yake bana hilo linaongeleka mbona
Kuna wakati inanijia roho ya kishetani nawaza sijui nimchomee hata ndani.