Ndoa inaelekea kunishinda

Sasa huyo jamani ni uchepukaji au ujinga, kama umeshakaa miaka naye kadhaa utakomaa, embu umeolewa na miaka yako 22-25 miezi 6 michepuko 3 umekomaa kweli hapo, ila simshauri aondoke ila kwa mwanaume afanyacho sio kabisa
Akiondoka ataenda wapi ambapo mume hachepuki? Wanaume huwa wanatulia tu Ila at some point katika ndoa lazima atoke tu! Sio wote Ila wengi ..
 
KWani baada ya kuchepuka kapungua nini?wewe tulia lea mimba yako..hakuna mtu hachepuki duniani!
 
Pole Sana dear....usifadhaike Sana. Pengine kutokana na hali yako ya ujauzito ndio maana akatafuta pa kupumzikia. Ni mambo ya mpito.


Anyway...ananikumbusha mbali kipindi cha ujauzito wa wifey.....ila sijawahi kukamatwa. Ndio tulivyo, mtuzoee.
 
Mkuu unampea vya kutosha.

Mtoto akishiba nyumbani atapunguza kudoea kwa jirani.
 
Mume wako ila unabaki kusubiri siku akipatwa na maradhi, amefulia au amefariki; ndiyo mke wa ndoa unakumbukwa sasa. Siku hizi wanaume wanahamia kwa michepuko mazima; unaachwa ndani na pete yako na vyeti vya ndoa.

Yaani
Maisha ya ndoa yamekuwa kitanzi miaka hii


Wanawake wengi wapo kimaslahi akijua mwanaume Ana vimali vya kumsogezea maisha, akimpata ndo basi tena. Mwanaume anasahau nyumba na kila kitu anahamia kwa mchepuko.. wakati wa shida anamwacha anatafuta mwingine wa kumteka.
 
Wewe Mama na kushauri, kutulia tu huo ni mwanzo, na hilo sio kosa kubwa katika ndoa za siku hizi, popote utakapo enda utayakuta hayo, usaliti umekua officialised na watznia wengi,......kama huduma zingine anatoa tulia tu.
Uko sahihi
 
Wanawake hapo ndo mnapofeli, et unataman umshirikshe mchungaji wenu??? Huna wazaz, ndugu na jamaa?? Kuwa makin na hao wachungaj watakuomba buree!! Nao binadamu
Huyu mara nyingi atakuepo ni makanixa ya kilokole ambao akili zao wanashikiwa na wachungaji
 
Mmoja ndo anasubiri kazi ya upolisi hivyo alimforce wakapime ukimwi kuhofia asijepata maambukizi akakosa kazi, yani hata hajali afya yangu na mtoto wake mpaka Kuna wakati inanijia roho ya kishetani nawaza sijui nimchomee hata ndani.

Wet shit! Gone stone

Mkuu achana na hayo mawazo,,,Narudia tena achana na hayo mawazo kama unaipenda familia yako na huyo mwanao ambae yupo tumboni..

Mapenzi ni ugonjwa wa akili,,, Jitahidi tu kufanya mambo mengine achana na kufuatilia simu ya mpenzi wako.. Kama hajakukuta Bikira basi tulia tu...

Ukiona umechoka zaidi unaweza kuachana nae ukaendelea na maisha yako,,, Life does not stop for anybody.
 
Nadhani haya yalikua makoloni yake hata kabla ya ndoa. Labda tumwambie bibie ampe mda atawaacha.
 
Forgive me - means i need help
You forgave me - doesnt mean i already trust you
 
Changanya na za kwako, maisha ya kuleteana stress wengine hatutaki,, au kwenu uliua,nenda kwenu,, atakuletea magonjwa bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…