MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,166
- 1,781
Hilo trela akijifungua ndio utajuta zaidi it either now or ufe mapema Kwa stress wkt mwenzio kwake ni sawa.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Kingine maybe anakudekea