Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hilo trela akijifungua ndio utajuta zaidi it either now or ufe mapema Kwa stress wkt mwenzio kwake ni sawa.
Kingine maybe anakudekea
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Ndoa na kushauri usiingize watu kabisa fanya maamuzi wewe mwenyewe maumivu unàyapata wewe na uzito unaubebe wewe raha unazijue wewe, hamna mtu wakukusaidia kwenye ndoa yako pambana kivyako kama huna mali teme huo mzigo mapema yanao kuja mbele yatakuzidi usimuonee huruma
 
Bro unanipoteza

Kama anakupoteza, kwanini umeleta hii mada humu? Au haujaelewa anamaanisha mrudishe kwao.

Mimi nashauri ufanye maamuzi ili ashike adabu na ujue kama aliingia kwenye ndoa kuonekana kaolewa Tu au laaaah!! Na kama ana bwana mwingine tangu unafahamu tu.

N.b.Mwanamke anayekupenda hasingekuwa hivyo kama wewe hauna makosa kwake.. fikra zako ziende nje ya boksi. Pole
 
Kama anakupoteza, kwanini umeleta hii mada humu? Au haujaelewa anamaanisha mrudishe kwao.

Mimi nashauri ufanye maamuzi ili ashike adabu na ujue kama aliingia kwenye ndoa kuonekana kaolewa Tu au laaaah!! Na kama ana bwana mwingine tangu unafahamu tu.

N.b.Mwanamke anayekupenda hasingekuwa hivyo kama wewe hauna makosa kwake.. fikra zako ziende nje ya boksi. Pole
Hii nimeielewa
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Bro mkaze vizuri mkeo huu ndo ushauri wangu ukiufanyia kazi utakuja kunishukuru
 
Hayo ni makosa na tabia zinazo vumilika na mnaweza kurekebishana.
Si ni binadam bana lazima awe na mapungufu, kabla ya kuwaoa tutegemee kukutana na mapungufu mengi waliyo yaficha kabla.

Lisilo sameheka ni kukucheat akifanya hilo kosa usimsamehe milele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom