Ndoa ina changamoto zisizoisha

Ndoa ina changamoto zisizoisha

Amuulize kitu anachokosa kwa mkewe (maana yawezekana ananyimwa au hapati share kwa 100% maana baadhi ya wanawake ni wachoyo na wazembe kitandani utadhani umelala na maiti) ili mkewe ampatie ipasavyo.
Asante kwa hili mkuu
 
Story ya ndugu yangu##
Nimeolewa na huyu mwanaume miaka 5 iliyopita,wakati wote huo sikugundua kama ananisaliti,nakumbuka ilikuwa mwezi wa pili 2017,mume wangu aliposafiri kuelekea kijijini kwao,alikaa huko kwa muda wa wiki tatu,baada ya kurejea nilibaini kama huko alipata mchepuko,nilimuuliza kwa wema,akakubali na akaomba msamaha,yakaisha,lakini baadae nikagundua tena ana mchepuko mwingine kazini kwake,nikamuuliza alibisha sana,nikasema Mungu yupo na atamuumbua,baada ya muda tena ndo nikayabaini mawasiliano yake na Huyo mwanamke anayefanya nae kazi,(pia huyo dada ni mke wa mtu)baada ya kumuuliza akakiri kosa,kinachoniumiza ni leo tena nimegundua bado anawasiliana na Huyo mwanamke,baada ya kumuuliza kanijia juu eti bora ndoa ivunjike,
please great thinkers nisaidieni ushauri kwa huyu ndugu yangu,kumbuka ana watoto 3,na ni mjamzito,pia huyu mwanamke ni mfanyakazi wa serikali ,mume pia ni mfanyakazi,

Wakiachana watoto itakuwaje?
Na wanafanya kazi sehemu moja,kisaikolojia athari zake ni zipi?kwa watoto na wenyewe wahusika
Pole sana mkuu
 
baada ya kumuuliza kanijia juu eti bora ndoa ivunjike,
please great thinkers nisaidieni
Mapenzi ni kama glasi dada ikisha pasuka ufa hautokaa uzibike. Hapo ushachokwa tayari.

Kama una watt 3 manake matiti yako hayana mvuto tena, mbunye yako kisha ijua Kila kona, style zako ni zile zile, kwa ufupi huna jipya na mvuto kwake. Sepa Dada.

Atakukera zaidi utende dhambi ya kumtilia simu kwenye maji ama chakula bure.
 
Mapenzi ni kama glasi dada ikisha pasuka ufa hautokaa uzibike. Hapo ushachokwa tayari.

Kama una watt 3 manake matiti yako hayana mvuto tena, mbunye yako kisha ijua Kila kona, style zako ni zile zile, kwa ufupi huna jipya na mvuto kwake. Sepa Dada.

Atakukera zaidi utende dhambi ya kumtilia simu kwenye maji ama chakula bure.
Huu ndo ukweli mchungu!
 
Kusalitiwa kunaumiza kuliko kitu chochote. Achague kitu kimoja kati ya hivi
1.talaka
2.kumvumilia
3.kumrudia Mungu wake (awekeze muda wake katika ibada badala ya kumuwaza huyo pasua kichwa)
4.kumpuuza/kutomfatilia kabisa katika hilo
5.yeye pia achepuke
Akishindwa yote hayo,ajiandae kufa kwa presha maana wasiwasi wa mapenzi unaua.
 
Back
Top Bottom