Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Hatimaye kaka yangu kaukanyaga umri wa kuoa. Wiki iliyoisha tunetoka kuvunja uchumba baada ya kuambiwa mahari ya kumuoa huyo binti Cheusi Mangala mwenye michunusi yake na bonge la mtrako eti ni milioni 4 na nusu, mpaka mashemeji wanatia cha udalali
Tuliamua kumuacha Baba mkwe wa Mchongo kisha kukatisha katikati ya mashemeji na kuondoka zetu
Juzi kati kaka yangu kabadili dini na kuwa muislamu kutokana na sababu zifuatazo:
a) Alimpenda binti mmoja cheupe mzuri wa macho ostadhati (nahisi bado hajachafuka) ambaye walikubaliana mahari ya misaafu miwili. Sidhani hata kama laki inafika. Hivyo alipewa jaribio la kubadili dini akalikimbia kipindi cha nyuma
b) Nyumbani tunakotokea kuna binti ambaye kila mwana ukoo wetu alitamani tumsaini ndani ya ukoo wetu. Hivyo kaka yangu ataitumia vyema moja kati ya vacancies tatu zilizobaki
c) Wanawake wetu hawa wa miaka hii ni pasua kichwa. Hivyo kaka hatosita kusema Basi! Ikiambatana na vikaratasi vitatu pale itakapombidi
d) Mke ni baraka! Pindi hali yake ya kiuchumi itakapokuwa ngumu, ataruhusiwa kuongeza mke mwingine kama baraka kwa kuwa kila mwanamke huja na nyota yake
f) Kama ataishi na mke wake kwa uaminifu, huko mbinguni keshaandaliwa Manawari 30 wazuri sana ambao atakuwa akiwachakata mbususu wakati huo sisi wa upande wa pili tutakapokuwa tunainua na kuinamisha vichwa vyetu
Last but not listed: g) Kaka atakuwa na uhuru wa kuzunguka vyumba vya wake zake usiku kucha akitafuta mbususu iliyoumuka kwa siku hiyo pindi atakapotimiza wajibu wa kujaza wanawake wanne
Nyie mliotaka milioni nne na ushee na cha udalali juu kwa mtoto wenu subirini siku ya mkesha wa Kawe mkamkanyagishe mafuta pindi akifikia wakati wa kuitwa 30+
Tuliamua kumuacha Baba mkwe wa Mchongo kisha kukatisha katikati ya mashemeji na kuondoka zetu
Juzi kati kaka yangu kabadili dini na kuwa muislamu kutokana na sababu zifuatazo:
a) Alimpenda binti mmoja cheupe mzuri wa macho ostadhati (nahisi bado hajachafuka) ambaye walikubaliana mahari ya misaafu miwili. Sidhani hata kama laki inafika. Hivyo alipewa jaribio la kubadili dini akalikimbia kipindi cha nyuma
b) Nyumbani tunakotokea kuna binti ambaye kila mwana ukoo wetu alitamani tumsaini ndani ya ukoo wetu. Hivyo kaka yangu ataitumia vyema moja kati ya vacancies tatu zilizobaki
c) Wanawake wetu hawa wa miaka hii ni pasua kichwa. Hivyo kaka hatosita kusema Basi! Ikiambatana na vikaratasi vitatu pale itakapombidi
d) Mke ni baraka! Pindi hali yake ya kiuchumi itakapokuwa ngumu, ataruhusiwa kuongeza mke mwingine kama baraka kwa kuwa kila mwanamke huja na nyota yake
f) Kama ataishi na mke wake kwa uaminifu, huko mbinguni keshaandaliwa Manawari 30 wazuri sana ambao atakuwa akiwachakata mbususu wakati huo sisi wa upande wa pili tutakapokuwa tunainua na kuinamisha vichwa vyetu
Last but not listed: g) Kaka atakuwa na uhuru wa kuzunguka vyumba vya wake zake usiku kucha akitafuta mbususu iliyoumuka kwa siku hiyo pindi atakapotimiza wajibu wa kujaza wanawake wanne
Nyie mliotaka milioni nne na ushee na cha udalali juu kwa mtoto wenu subirini siku ya mkesha wa Kawe mkamkanyagishe mafuta pindi akifikia wakati wa kuitwa 30+