mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,835
Kaka angu katika maisha amekua my role model, kwenye biashara kwenye maendeleo kukaa na kuishi na jamii.
Lakini katika masuala la ndoa naona hilo sitamuiga yote, Kaka yeye alikua anasema kama hauko tayari kumuacha mwana mke usioe, "Marry the one you can afford to leave"
Aliniambia wanawake nikama accessories za magari asikukoseshe safari yako eti una msubiri "move on" ni sawa sawa kama radio ya gari ikifa husiahilishe safari tegeneza ikigoma nunua mpya uendelea na safari yako. Ali seme usieo unayo mpenda oa anae kuzimia, "never ever trust a woman".........
Kaka sasa hivi ni marehemu alifia Africa kusini katika harakati za utafutaji wake kwa ajali ya gari, akiwa na umri wa miaka 38, nilipewa jukumu la kua over seer ya baadhi ya mali zake, ila chagamoto ninao kumbana nao ni idadi ya wakina mama alio zaa nao inataka kulingana na idadi ya watoto alio zaa ni 6 - 11 loh!!! na wote wana haki sawa.
Na shauri kama unaweza kubembeleza mwana mke wa ndoa fanya hivo, kuzaa na wanawake wengi sio dili pia kuna kero fulani badaye kama ninao kumbana nao na hawa mashemeji zangu sita, kila moja na kichwa chake kazi ninao kwelo kweli
Lakini katika masuala la ndoa naona hilo sitamuiga yote, Kaka yeye alikua anasema kama hauko tayari kumuacha mwana mke usioe, "Marry the one you can afford to leave"
Aliniambia wanawake nikama accessories za magari asikukoseshe safari yako eti una msubiri "move on" ni sawa sawa kama radio ya gari ikifa husiahilishe safari tegeneza ikigoma nunua mpya uendelea na safari yako. Ali seme usieo unayo mpenda oa anae kuzimia, "never ever trust a woman".........
Kaka sasa hivi ni marehemu alifia Africa kusini katika harakati za utafutaji wake kwa ajali ya gari, akiwa na umri wa miaka 38, nilipewa jukumu la kua over seer ya baadhi ya mali zake, ila chagamoto ninao kumbana nao ni idadi ya wakina mama alio zaa nao inataka kulingana na idadi ya watoto alio zaa ni 6 - 11 loh!!! na wote wana haki sawa.
Na shauri kama unaweza kubembeleza mwana mke wa ndoa fanya hivo, kuzaa na wanawake wengi sio dili pia kuna kero fulani badaye kama ninao kumbana nao na hawa mashemeji zangu sita, kila moja na kichwa chake kazi ninao kwelo kweli