Ndoa hizi zisikieni tu

Ndoa hizi zisikieni tu

Walipitia hii kitu inaitwa, Urafiki, Uchumba hadi Ndoa?
Au walikutana miezi mitatu tu, mwezi wa sita wakafunga ndoa?

Wapo wanaokesha makanisani wanasaka ndoa wengine wapo ndoani wanajuta kwanini waliolewa basi tabu tupo
back to point.

Kuna binamu yangu yeye hali ni tete kwenye ndoa yake ndoa yake inamiaka 2 anamtoto 1. huyo binam yangu hana kazi anabiashara ndogondogo tu mumewe ni doct.

Jamaa anaishi kiubabe sana mwanamke hana sauti jamaa anaweza amwambie kesho nasafiri akiuliza unaenda wapi we jua nasafiri.

Kipato cha mme hakijui wala matumizi anachojua kala kashiba basi mme alishazaa nje kabla hajamuoa anaongea na mzazi mwenzie mpaka saa 7 usiku hatakiwi kuuliza anaambiwa hayakuhusu kwan huli ukashiba?

Inshort hana amani kabisaa, jamaa ana jeuri vibaya mno anaweza akarudi saa 6 usiku akimuuliza anamjibu mi sio mtoto.

Ndoa hizi zisikieni tu.
 
Without doubt wamesikia ombi lako, tutatekeleza.....
Mimi mzima mamito, sijui wewe. Upo kimya sana, ndo huyo mume kakubana sana?
mie niko poa kbs wangu. Mume kashika vyote sipumui khaaa!!!

sony wat?
we uko juu mwal unajua simu nying hivooo?
by ze wei uko poa?
hahhhhahhahaha!!!!!!!!!!!!!!!
shostiii utazijuaje na weye wakaa mabwe?? tembelea mjn mwal.
ivi lini uteenda kwa lile limeza la kilio na raha?
miss u maa! uje kwangu kulala wallahi! nina mengi moyoni mgongoni na moyoni kwa madiskasheni! twins nao wamemiss mgongo, khaaaaa!

uwiii haya nunua kwanza pampas, na makintosh chupa za maji moto, maziwa na ujiandae kukesha wewe na mkeyiii
 
Hivi watu wakishaa wote mahusiano hayaishagi ehh...kazi kweli kweli
 
Mfanya biashara ndogo ndogo ampate daktari unadhani kuna sababu ya research hapo...huyo aliingia mzima mzima...mara kumi angemkubali yule mwenye kigenge wangekuwa wanaishi kwa ma lovedave muda huu...

wakati mwingine kukiwa na utofauti mkubwa ki class unatakiwa uongeze umakini kwenye kuamua...
 
mwanaume wa ivo aiseeh mie hapana!!,narudi kwetu sikufukuzwa

We subili uolewe ndo utakapoyajua mambo ya ndoa haya unayoyasoma hapo ni nadharia tu,unadhani kurudi kwenu ni rahisi namna hiyo?
 
huo ni upande mmoja wa shilingi.umeshajiuliza huyo binamu yake anamhudumia vipi mumewe??!! maana baadhi ya wakinadada wa siku hizi ni hedeki tupu wala hawafai kuitwa wake. yeye anachojua ni kuvaa ngozi ya kondoo kabla ya ndoa ila akishaolewa utayaona makucha yake ndugu. jiulize kwa nini huyo dr hakumuoa mama motto wake wa mwanzo na akaolewa binamu yako halafu sasa hivi dr anakuwa karibu sana na mama motto wa zamani??!! something is wrong somewhere na huenda dr anajutia uamuzi wake wa kumuacha mama mtoto wa zamani na kumuoa binamu yako. usipende kulaumu upande 1 bila kujua ukweli halisi

Well said Mkuu,ajaribu/ kumuuliza binamu yake amwambie ukweli kama nae kuna sehemu alishakoroga mumewe ndo maana pengine akawa hivyo.Amwambie afunguke huyo binamu!
 
Back
Top Bottom