TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,027
Amwendee kwa kalumanzira mbona atatulia tu
Heheheheeeeeeee.....acha kutuvunja mbavu
Amwendee kwa kalumanzira mbona atatulia tu
ila kina dada/mama walikuwa wanamsikiliza kweli kweli ,,,,,,,, kuna uwezekano alikuwa anawasaidia mawili matatu japo yeye yalimshinda.
wapo wanaokesha makanisan wanasaka ndoa wengine wapo ndoani wanajuta kwann waliolewa basi tabu tupo
back to point
kuna binam yangu yeye hali ni tete kwenye ndoa yake ndoa yake inamiaka 2 anamtoto 1. huyo binam yangu hana kaz anabiashara ndogondogo tu mumewe ni doct. jamaa anaishi kubabe sana mwanamke hana sauti jamaa anaweza amwambie kesho nasafir akiuliza unaenda wapi we jua nasafir, kipato cha mme hakijui wala matumiz anachojua kala kashiba basi mme alishazaa nje kabla hajamuoa anaongea na mzazi mwenzie mpaka saa 7 uck hatakiwi kuuliza anaambiwa hayakuhusu kwan huli ukashiba? inshort hana aman kabisaa jamaa jeur vibaya mno.... anaweza arudi saa 6 uck akumuuliza anamjibu mi sio mtoto.
ndoa hizi zisikieni tu
Ao ndio wanawake wakiona mwanaume ana hela au anakaz nzuti kidogo anamwendea kwa mganga....mwanaume akupende mwenyewe na c kwa nguv za giza matokeo yake ndio ayo dawa zmeisha nguvu akaongeze dawa zengine ili ajilekebishe
wapo wanaokesha makanisan wanasaka ndoa wengine wapo ndoani wanajuta kwann waliolewa basi tabu tupo
back to point
kuna binam yangu yeye hali ni tete kwenye ndoa yake ndoa yake inamiaka 2 anamtoto 1. huyo binam yangu hana kaz anabiashara ndogondogo tu mumewe ni doct. jamaa anaishi kubabe sana mwanamke hana sauti jamaa anaweza amwambie kesho nasafir akiuliza unaenda wapi we jua nasafir, kipato cha mme hakijui wala matumiz anachojua kala kashiba basi mme alishazaa nje kabla hajamuoa anaongea na mzazi mwenzie mpaka saa 7 uck hatakiwi kuuliza anaambiwa hayakuhusu kwan huli ukashiba? inshort hana aman kabisaa jamaa jeur vibaya mno.... anaweza arudi saa 6 uck akumuuliza anamjibu mi sio mtoto.
ndoa hizi zisikieni tu
wapo wanaokesha makanisan wanasaka ndoa wengine wapo ndoani wanajuta kwann waliolewa basi tabu tupo
back to point
kuna binam yangu yeye hali ni tete kwenye ndoa yake ndoa yake inamiaka 2 anamtoto 1. huyo binam yangu hana kaz anabiashara ndogondogo tu mumewe ni doct. jamaa anaishi kubabe sana mwanamke hana sauti jamaa anaweza amwambie kesho nasafir akiuliza unaenda wapi we jua nasafir, kipato cha mme hakijui wala matumiz anachojua kala kashiba basi mme alishazaa nje kabla hajamuoa anaongea na mzazi mwenzie mpaka saa 7 uck hatakiwi kuuliza anaambiwa hayakuhusu kwan huli ukashiba? inshort hana aman kabisaa jamaa jeur vibaya mno.... anaweza arudi saa 6 uck akumuuliza anamjibu mi sio mtoto.
ndoa hizi zisikieni tu
Kina MadamB wanawataka wanaume vicheche muunganishieHalafu vimeo vingi ni washauri wazuri wa Ndoa za wenzao...easier said than done
kuna ukweli , hasa wale waliochukulia positive
Kumbe nmesema uongooo?
Binamu yako aliolewa akiyajua yote hayo...mnajipaga moyo atabadilika.
Mwambie aanze kujipanga kuishi mwnyw hapo ndoa hamna.
na inawezekana alishauliwa kabla akaona watu wana waivu.
umeongea points juzi kuna uzi uliwekwa humu kuhusu wadada wanaokimbilia ndoa za wenye vipato mkadai"bora manyanyaso ya kwenye verossa kuliko ya kwenye baiskeli"tama zinatuponza wadada kutaka madr,injinia,wahasibu,so tunavuna tunachopanda.
umeongea points juzi kuna uzi uliwekwa humu kuhusu wadada wanaokimbilia ndoa za wenye vipato mkadai"bora manyanyaso ya kwenye verossa kuliko ya kwenye baiskeli"tama zinatuponza wadada kutaka madr,injinia,wahasibu,so tunavuna tunachopanda.