Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wapenzi wa jamvi hili,
Nimekuwa nikijiuliza sana hivi ndoa za wake wengi mfano wanne hata kama ni halali kisheria huwa zina upendo na mapenzi ya dhati kweli miongoni mwa wanandoa? Mimi naona lazima mume atampenda sana mke mmoja kuliko anavyowapenda wake wengine watatu. Vilevile, lazima mume awe na mapenzi kidogo kwa mke mmoja kuliko wengine watatu. Mnasemaje wadau?
Nimekuwa nikijiuliza sana hivi ndoa za wake wengi mfano wanne hata kama ni halali kisheria huwa zina upendo na mapenzi ya dhati kweli miongoni mwa wanandoa? Mimi naona lazima mume atampenda sana mke mmoja kuliko anavyowapenda wake wengine watatu. Vilevile, lazima mume awe na mapenzi kidogo kwa mke mmoja kuliko wengine watatu. Mnasemaje wadau?