Mwambepo
Member
- Nov 3, 2016
- 12
- 13
Haaaaaa hapana dada hiyo its too much!!! Hapo machokifanya n sawa na huruma za mshumaaaa!!! K ukweli wote familia zetu n tegemez lakin mmeo anaendekeza!!! Watu kumi uwaleee wew!?? Hapana akuonee na huruma na wew una wazaz!! Sikushaur ufanye nn ila ukiona mzigo mzito achana nao utakuua siku c zako!! Kwenu hukuua mama!! Binafs nimekuonea huruma!!! Kama n somo la uchoyo ulifel kabisa!!! Mungu akubariki kwa moyo huo,,,,lakin wema usizid uwezo!!!Yaani kama ulikuwepo vile, coz kuna wengine wakubwa nawazidi labda miaka mitatu hv; basi wanataka nao wajipangie utaratibu wao; mwingine anataka anywe chai lita nzima pekeake, mwingine msosi anataka arudie full plate hata mara tatu, nikisema niwapeleke shamba wanapiga simu kwa Mr ati wanaumwa wanataka kurudi, nabaki napiga kazi mwenyewe, basii duuuh, stress za kila rangi!