themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Nlikuwa na mahusiano na binti wa Kondoa huko, miaka 4 ya mahusiano alikuwa ni malaya wa kutupwa kila siku kazi ilikuwa ni kumfuma na matukio ya umalaya alafu kumuowa akawa ananipiga chenga, uvumilivu ulivyonishinda na baada ya kuwekwa vikao na ndugu zangu kuwa nisanuke mapema huenda mm nidaraja yupo mwanaume anaempenda sema huenda anamsubiria ajitafute akijipata utachukuliwa mwanamke unajiona.
Kweli mwishoni mwa mwaka jana Nikafanya usajili mpya nikaweka ndani Binti mwingine pika pakua hadi sasa, kwa sasa kumetokea Chuki kubwa sana wale ndugu zake wametokea kunichukia hata salamu hakuna.
Ila moyoni nimesema tu kwa umalaya wa binti yao walitegemea mimi nifanyeje.
Kweli mwishoni mwa mwaka jana Nikafanya usajili mpya nikaweka ndani Binti mwingine pika pakua hadi sasa, kwa sasa kumetokea Chuki kubwa sana wale ndugu zake wametokea kunichukia hata salamu hakuna.
Ila moyoni nimesema tu kwa umalaya wa binti yao walitegemea mimi nifanyeje.