Ahsante kwa majibu mazuri Who Cares....dada yeye yuko mid thirties, bado anadai, na shem anaenda gym kwa ajili ya mazoezi,kuhusu kumfatilia nyumba ndogo, alimfatilia yule aliyemkuta nae, akakuta ni msichana mwenye mchumba na pia ana bwana mwingine mume wa mtu pia, iliishia hapo, na si mtu wa kulaumu laumu yaliyopita, ni kati ya wanawake wanao believe in family na one marriage forever, kwa hiyo kukiwa na tatizo anaongea linaisha, yuko hivyo hata mimi nikimkosea huwa ananiambia ukweli halafu yanaisha na wala habaki na kinyongo, ni mtu mwema sana kwa kweli,she deserve to be happy.majibu umenipatia ila kwa hizi comments anaweza kuzifanyia kazi kwanza kisha nije na dozi ya kumaliza tatizo ikiwamo vyakula na mazoezi na hata ushauri wa kwenda kwa kiongozi gani wa kiiman au hata mganga gani wa jadi.
Mambo mengi sana tunaongea, na kumbuka kakaa miaka yote tano bila kusema kaja kusema majuzi,kwa kweli inasikitisha sana,sasa embu imagine, kwa kunambia mie tu mdogo wake watu pia wanasema angeyaficha ya mume je akaenda kwa washauri wengine? watu watasemaje, na yeye pia ni mtu wa kutaka kuonekana family yake iko perfectNapata shida kidogo kuamini kuwa dada yako anakueleza kila kitu kwenye hiyo ndoa yake, kweli?? pili huyu mwanaume kwa muda wote huo haoni kuna haja sasa kutafuta suluhu ya hilo tatizo? miaka 6 bila jigijigi? hii inaweza ikawa pysychological issue na ina bidi ai address accordingly, nasema hivyo kwa sababu nikama anatunza jipu ambalo dawa yake si zaidi ya kutoboa usaha utoke. tatu, ukweli ni kwamba mficha maradhi kifo kinamuumbua, awaone specialist, ni maoni tu lakini.
Aende Tanga kuna wagoshi kule wanatibu hiyo tatizo,hao mashaikolojisht wanaweza kushindwa kabisha kwani sometimez inafungwa kabisha.Daaaaaaah aiseeee, pole sana sana sana sana sana, dada ake SaraM, maana jaman tendo la ndoa huongeza uhai wa ndoa yenyewe, mie nashauri mwende kwa mwanasaikolojia, for councelling, sababu inaonekana jamaa wala hana maradhi yeyote, ni kidudu mtu tu kaingilia kati hapo,anamuona mke kama katuni vile, kuna mkaka mmoja pia ilimkuta kwa mkewe, ni rafiki yangu,alinisimulia mimi,na akasema alikuwa akienda kwa girlfriend wake inafanya,home haifanyi hata iweje, mwaka ukapita miaka miwili akalivalia njuga hili swala, kuna watu na degree zao za saikoloji wapo kwa ajili ya mambo haya,hakuna kulogwa wala nn
SaraM pole sana kwa mume wako kushindwa kukupa haki yako. Ulifanya kosa kukubali kwa kigoli kama wewe kukubali kuolewa na mzee kama huyo- maana ule umri wake wa kutoa dozi umeishapita. Tatizo la mumeo ni kupungua kwa hormone ya kiume, mlete hapa Sanitas tumpe dawa ya kutibu hilo tatizo lake . Pole sanaNdoa yao ina miaka zaidi ya kumi na hivi, so watoto aliapata bila tatizo ndugu yangu, wanasafiri mbuga za wanyama, wanaendaga zanzibar sijui ma nchi ya mbali,dada akirudi ananiambia hakuna kitu kilichotokea, huruma jamani
Wanaume mna matatizo gani, na wewe inaonekana unajisahaulisha kumshughulikia mkeo,ngoja yakukuteNgoja na mimi nikajaribu nisije ishia kati bure ikawa shida huko miaaka sita ijayo
Miaka 6 si mchezo, ninavyohisi mimi. Huyo Mume atakuwa Na kimada cha nje Na ndicho kilicho mtengeneza jamaa kwa Sangoma, ili asiweze kuperform kwa mkewe Na pia asifikirie kama ni kosa (kutomridhisha mke), cha maana maombi hapa yanahitajika...
Naijeria labdaHivi kuna Sangoma wanaoweza kufanya mambo mazito kiasi hicho? Wanapatikana wapi?
nahitaji kuonana mmoja wao.
Babu DC!!
Wapenzi salaam,
Nina mkasa, au jambo ambalo linamsumbua dada yangu kwa kiasi kikubwa sana,nimeshare nanyi kwa kuwa najua kwenye wengi hakukosekani busara na majibu ya maswali magumu.
Nina dada yangu mumewe anashindwa kumpa unyumba kwa miaka sita sasa, hata akijitahidi kukutana na mkewe anaishia njiani,yaani katikati inasinyaa, hii inatokana na nini, dada yangu kajaribu kila kitu hadi sasa anataka kuchukuwa maamuzi mazito, maana hamwoni muwewe kama anasumbuka na hilo kabisa,akimwongelesha hilo anakuwa mkali, na kukumbushia maugomvi ya zamani ili tu dada ajisikie vibaya.
Mimi kaka mimi nimemshauri kama aliweza kukaa miaka yote sita asiachane na mumewe, kwani ana watoto nae nahisi watapata taabu kisaikolojia, dada yangu anampenda sana mumewe, coz hata akijaribu kucheat huwa hasikii raha wala nn,anamwazia mumewe tu,mwishowe anamwacha mpenzi na kurudi home kujituliza, hali hii imemfanya akose raha kabisa,japo kila kitu kiko fresh kimaisha,ukimwona akiwa na mumewe utadhani anafuraha hakuna dosari,ila muda mwingi ,ushauri wenu unaombwa.naomba wenye uzoefu na hata waliowahi kukubwa na tatizo hili wasaidie kutoa ushauri,pia wanaume ambao waliwahi kupatwa na tatizo hili mtoe ushauri tumsaidie mwenzetu.
Wapenzi salaam,
Nina mkasa, au jambo ambalo linamsumbua dada yangu kwa kiasi kikubwa sana,nimeshare nanyi kwa kuwa najua kwenye wengi hakukosekani busara na majibu ya maswali magumu.
Nina dada yangu mumewe anashindwa kumpa unyumba kwa miaka sita sasa, hata akijitahidi kukutana na mkewe anaishia njiani,yaani katikati inasinyaa, hii inatokana na nini, dada yangu kajaribu kila kitu hadi sasa anataka kuchukuwa maamuzi mazito, maana hamwoni muwewe kama anasumbuka na hilo kabisa,akimwongelesha hilo anakuwa mkali, na kukumbushia maugomvi ya zamani ili tu dada ajisikie vibaya.
Mimi kaka mimi nimemshauri kama aliweza kukaa miaka yote sita asiachane na mumewe, kwani ana watoto nae nahisi watapata taabu kisaikolojia, dada yangu anampenda sana mumewe, coz hata akijaribu kucheat huwa hasikii raha wala nn,anamwazia mumewe tu,mwishowe anamwacha mpenzi na kurudi home kujituliza, hali hii imemfanya akose raha kabisa,japo kila kitu kiko fresh kimaisha,ukimwona akiwa na mumewe utadhani anafuraha hakuna dosari,ila muda mwingi ,ushauri wenu unaombwa.naomba wenye uzoefu na hata waliowahi kukubwa na tatizo hili wasaidie kutoa ushauri,pia wanaume ambao waliwahi kupatwa na tatizo hili mtoe ushauri tumsaidie mwenzetu.
Yani mwenyewe naona kabisa mchawi yuko kati ya haya hapaa....angejibu labda tiba ingepatikana
Kwa ushauri wangu hiyo ndoa ina tatizo la kisaikolojia na kiroho ndiyo kwenye mzizi wa tatizo. Dada yako anatakiwa kuonana na Counselor apate ile kitu inaitwa Marriage Couseling. Anaweza kuwasiliana na Counselor mwenye namba hii 071513686. Asante sana