Dr jasmine
Member
- Dec 5, 2017
- 74
- 16
hata kama hamnikaribishi ndo nshaingia sasa .
UmeanzaWho cares?
Umeanza
pole pole mbona patakalika tu.mbona mgeni una mkwara sana? patakalika humu kweli!
Kuna sehemu nyingi za kuingia, umeingia wapi??hata kama hamnikaribishi ndo nshaingia sasa .
haya karibu, labda nikuulize swali! ni nini hasa kimekuvutia humu JF?pole pole mbona patakalika tu.
njoo tusalimiane kinyumbani kwanza acha mikwara..Ahahaaaa kumbe ni wewe...... nshakujua.
Shammy beibeeeeeee hahaaaa natania bana.
kwa room.Kuna sehemu nyingi za kuingia, umeingia wapi??
njoo tusalimiane kinyumbani kwanza acha mikwara..
miss chagga ebu njoo kuna mtu ana utani na wewe.Sio mgeni huyu anakuja kivingine amchukue Miss Chagga
eminza bhabha.Ng’wanene....
commentshaya karibu, labda nikuulize swali! ni nini hasa kimekuvutia humu JF?
hahahngoja waje wapima mikojo!