KikulachoChako JF-Expert Member Jul 21, 2013 18,126 32,812 Jan 8, 2018 #6 Wanaume tumeambiwa mateso na kuhangaika Kuumbwa tu kiumbe wa jinsia ya kiume kuna kuweka kwenye risk ya kufa muda wowote.......... Ndio unaweza kukuta mwanaume katoka nyumbani kwenda kutafuta ridhiki anakutwa njiani kafa kagongwa na gari au yupo Muhimbili Moi.........
Wanaume tumeambiwa mateso na kuhangaika Kuumbwa tu kiumbe wa jinsia ya kiume kuna kuweka kwenye risk ya kufa muda wowote.......... Ndio unaweza kukuta mwanaume katoka nyumbani kwenda kutafuta ridhiki anakutwa njiani kafa kagongwa na gari au yupo Muhimbili Moi.........
SK2016 JF-Expert Member Apr 6, 2017 7,971 13,662 Jan 8, 2018 #7 Acha tujitume tu, hakuna jinsi nyingine. Ndiyo maana tunaitwa wabeba majukumu.
KikulachoChako JF-Expert Member Jul 21, 2013 18,126 32,812 Jan 8, 2018 #8 Mwanaume hashindwi kitu mbele ya mwanamke...... Attachments 6E9B5D4E-BEA0-4048-8825-D36CA49BC2CC.jpeg 36 KB · Views: 51
Atoto JF-Expert Member Jul 19, 2013 82,111 158,967 Jan 8, 2018 #9 Mmmmmh!!! Hapo ukute analelewa hivyo lazima ajionyeshe angalau ana mbavu(wanaume wa siku hizi)
toroka uje mjini JF-Expert Member Mar 29, 2017 1,584 2,107 Jan 8, 2018 #10 espy said: Mmmmmh!!! Hapo ukute analelewa hivyo lazima ajionyeshe angalau ana mbavu(wanaume wa siku hizi) Click to expand... Wanawake ndio Too much Hata ukijamba tu ati unaambiwa Baby pole jamani
espy said: Mmmmmh!!! Hapo ukute analelewa hivyo lazima ajionyeshe angalau ana mbavu(wanaume wa siku hizi) Click to expand... Wanawake ndio Too much Hata ukijamba tu ati unaambiwa Baby pole jamani