nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Teh samahani ni avatal yako si wewe
Tatizo mmeweka avitar za kubumba mimi nimeamua kuweka ya kwangu halisi. Nitarudi baadae kidogo
Teh samahani ni avatal yako si wewe
Km mwezi wa siku 5 ivi. Ule wa angani hata kung'aa ndo vile vilesasa kwani yeye ni ndizi?
Kama wewe unajua kafanana na nini sema basi!
Amefanana na ile kitu. Yetu.
Matunda yalikuwa yakiongea kwenye miti yake!
Chungwa akasema,'mimi naona nafanana
na jua',
Apple akasema 'mimi nafanana na moyo',
Ndizi akasema 'jamani hebu badilisheni story'