Ndivyo tunakwenda na wakati?

Ndivyo tunakwenda na wakati?

umenipa raaha kijana wangu ulokua makini yalivyolegezwa ka mikandambili,kwanza nina alegy ni miziwa mikubwa afu balaa ukute yalozeeka ka hayo au yale ya maunda zoro anayoonyesha kwenye shooting ya juzjuz 2,ukiyaona ni kama malapa kweli

sasa navaa juba rasmi kumbe mnatudharau sana tukiacha nyonyo zetu njenje?kama yule mashauz wa taarabu yake si manono jamani?hahahaaaa
 
Siku hizi dada zetu wameona kama ni mtindo kuvaa nguo na kuacha sehemu za nyonyo zao wazi. Huku ndiko tunakwenda na wakati?

001.JPG

Madubwashika yenyewe tayari yasha tepwereka (tepwera) kama muyaonavyo ,yamechezewa sana tu na kunyowa hadhi yake imepunguwa kwa maana hiyo nilazima yafanyiwe advertisement. any way huyo mama anaonekana ni mtu mzima uso wake tayari umesha kubuhu ni wakujistahi badala ya kushindana na watoto anao weza kuwazaa au kuwajukuu.
 
Siku hizi dada zetu wameona kama ni mtindo kuvaa nguo na kuacha sehemu za nyonyo zao wazi. Huku ndiko tunakwenda na wakati?

001.JPG

Kama biashara ni matangazo basi hao wanamama ni bidhaa wako sokoni; na sokoni mwenye kulipa bei kubwa ndio hupewa bidhaa husika!!
 
Biashara hiyo! mie nawapongeza wale walioamua kwenda kusimama barabarani kabsaaa kuliko hawa undercover ambao sasa wanajisahau na kujiachia waaaaziii te he tet heheh....
 
Yamepigwa jeki ya nguvu,ikishushwa tu yote kanda mbili.
 
Wanaume wenzangu utafiti umeonyesha kuangalia manyonyo mara nyingi iwezekanavyo inasaidia kupunguza stress, let us encourage them exposing their boobs.

Mie yananiongeze stress mkuuu dah
 
waache ili nizidi kutazana.hawajui vitu vingine ni vya thamani siyo kila kitu nje
 
mada kama hizi zinapaswa kwenda na picha
 
Siku hizi dada zetu wameona kama ni mtindo kuvaa nguo na kuacha sehemu za nyonyo zao wazi. Huku ndiko tunakwenda na wakati?

001.JPG

Duu! mambo ya kukataa uafrika na kutaka mambo ya kizungu ya kuanchia achia sehemu za mwili. ingekuwa zamani wote wangependeza kwenye mavazi ya khanga khanga hivi
 
Back
Top Bottom