Wanaume kwan watuuu
Kwani tulikubaliana kuzaa au kufanya mapenzi?? Ajabu mtu mwenyewe amekwenda shule walau anaijua vizuri biologia ya mwili wake bila hata kuchukua tahadhari na kunitahadharisha kuwa siku sio nzuri wee unakinga tu what do you expect?? ebu acheni ujinga na msituingize kwenye majukumu ambayo hatujapanga....
mkuu huyu kaumizwa muonee huruma badala ya kumkashifu mkuu!Mwiko usiseme hivo unataka kutuambia baba yako aliyekuzaa siyo mtuuu? Umepitiliza Queen!!????!!!!
Kwani wakati wa kile kitendo mtu unaexpect kitu gani chaweza tokea?
Hii nimeipenda mkuu.
I go for the sake of leasure..Pleasure&...more flavour girl,i.e sex is all about entertainment...whereas pregnancy=activeness,readyness&compromise..so urn't ready,we dn't compromise dn't come 2m 4preg rather just wllcme 4sex...mmeelewa dadas?
Hii kitu sio ya leo tu bali tangu enzi zile mambo yalikuwa hivi hivi.
Kwani wakati wa kile kitendo mtu unaexpect kitu gani chaweza tokea?
Partly shine amekujibu vizuri lakini pia sipendi kufanya hilo jambo kwa kuanticipate wakati naweza kuzuia hizo posibility ikiwemo hata kuahirisha hilo jambo kama itabidi... cha msingi kila mtu ajitambue na hizi tabia za kuingizana katika familia kwa kuanza kuitwa baba wakati sijajiandaa sipendi na sitaki.
That's OMGMkirua wewe unidhani unatoa Maji?????????
Kama ni mbegu huna sababu ya kulaumu , maana kama ni hatua MLITAKIWA KUCHUKUA WOTE,Kwani HUIJUI Baolojia Yako?????????