ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 950
Jamaa ametulia, Binti alianza kwa kumpelekea mkono kiunoni, akampiga kisi/busu mdomoni na shingoni, akapeleka mkono kifuani, kisha akachomoa na kuuingiza mfuko wa nyuma ulikuwa na "wallet" akachomoa akampa jamaa, akamsifia "duh, oh dear...you are so sweet and have a lot we can spend today, ooh but do you really love me!!!? "" Jamaa akatikisa kichwa "oh YES" why why not!!" kisha akaagiza ule "mzinga" unawekwaga na mabarafu kwenye Kindoo kidogo akaomba na akaomba papo hapo "room service please" haoooo wakaelekea kwenda kubanguana!!!
Kilichotokea huko....... " HAPPY NEW YEAR, 2013 "