''Kuna watu wamesoma lakini hata hawana akili", baba yangu (2003).
Miaka 20 baadae nathibitisha maneno yake.
Shoo amewaonyesha 'show' la kiusomi kwa dakika chache tu, sasa vikaragosi wao wamebaki kutapatapa tu humu jf. Hakuna la maana la kusema zaidi ya kutaja PhD tu basi na kujimwambafai mambo mengine ya kijingajinga muda wote.........
Msomi habishani hovyohovyo!
Msomi hajikwezi unnecessarily, eti 'sisi tuna mizizi hadi kwenye kaya zote nchi yote hii'. Pumbaaaaf!!!
Msomi hawi kigeugeu na mkurupukaji.
Kumbe lowassa na sumaye ni kkkt ee?!!! Naona kama kuna kitu cha kukifanyia utafiti hapa.......unaweza kuja kugundua jambo!!